KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Nakaa siku zote najiuliza sipati jibu nasijui ninani wakunisaidia kujibu hili nakila mara nikiuliza mara nyingi nimekuwa nikipewa jibu lisilo kidhi mahitaji ya kiu yangu yakutaka kujua !!Thank God nipo hapa hambapo sikuzote ujivunia kujua mtandao huu wa JF kwani siku zote uamini nimsaada mkubwa kwangu na kwa jamii kwa ujumla.
Baada ya hapo mimi kitu kinacho nisumbua ni hiki:-
Baada ya hapo mimi kitu kinacho nisumbua ni hiki:-
- MAPENZI/PENZI!