kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,183
- 1,619
Yanga wametolewa kafara kukwepa aibu na uozo wa TFF na kamati yake.
Mwanasheria wa yanga kasema mkataba una ingredients zote muhimu za contract, una consent, capacity to contract una kitu muhimu ambacho ni consideration (pesa aliyochukua Morrison).
Sasa Mwanjala hukumu yake haileweki, imeacha maswali mengi, TFF mnakwama wapi, serikali iingilie humu hii taasisi inaendeshwa kama familia.
Mwanasheria wa yanga kasema mkataba una ingredients zote muhimu za contract, una consent, capacity to contract una kitu muhimu ambacho ni consideration (pesa aliyochukua Morrison).
Sasa Mwanjala hukumu yake haileweki, imeacha maswali mengi, TFF mnakwama wapi, serikali iingilie humu hii taasisi inaendeshwa kama familia.