Kwa ufaulu huu atapata chuo?

Kwa ufaulu huu atapata chuo?

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,917
Reaction score
11,801
Nina dogo kafanya mtihani kama pc kapata div 3 points 15 yaani gs F History D English D Kiswahili F je atapata chuo ngazi ya degree au aombe diploma.
 
daah!, jamaa anaweza akapata degree intake ktk private institutions incase watoe pre-entry course sababu Gs ndo ime muangusha sio kiswahili anyway akiomba diploma fasta anapata
 
kwani wadau, gs ni lazima sana kufaulu ili mtu aweze kupata chuo ?
 
Kwa private Institutions yaani amechana ile mbaya.Anaweza kabisa kuendelea na Chuo kikuu unless kama alikuwa anategemea Mkopo wa HESLB hapo ndiyo patamsumbua kidogo.
 
Kwa nini asipate chuo bwana, mambo yalishabadilika siyo kama enzi sis tunasoma vyuo vikuu vilikuwa Mzumbe na UD sasa vyuo vikuu vipo mpaka Mbagala rangi tatu na hata kwa Mtogole vipo.Swali la kuuliza ni kuwa atapata mkopo lakini chuo kama chuo tatapata wala usiwe na wasiwasi
 
Chuo ataenda tena kwa speed kali sana,haijalishi kafeli GS ama la ila ni kwa sababu ana point zake 4.Mbona mwaka jana kuna mtu alikuwa na F GS na point zake 9 akachaguliwa kusoma civil engineering udsm tena si yeye tu,walikuwa wengi tu.
 
si ana 4.0 huyo kwanini asipate chuo mi nina ushuhuda wa watu waliopata 2.5 na wanagonga ed kama kawa na mkopo wamelamba
 
Tatizo ni kuwa anatakiwa awe na angalau princple 2 na subsjury 1 hapo yeye naona ana princple 2 tu au?? Mwenye uelewa zaid plz
 
Back
Top Bottom