Kwa ufaulu huu naweza kusoma Architecture?

Acha kusikia habari za kusadikika,huyo kaka yako anaitwa nani?na eti wanaodisco na EGM na HGE..wewe ni lecture ARU ndio unatoa hizo takwimu?usiongope,mtaje huyo bro wako coz waliograduate architecture 2011 na 2012 wote tunawajua


Get scrolling up the page to comment #23 .
A nod is as good as a wink to a blind horse, grow bigger mind. Cr.ap
 
Je aliichagua hiyo course? Majibu yapo mbioni Septmber hii, ikiwa atachaguliwa course nyingine ARU akijisajili tu ile wiki ya kwanza ataandika barua kubadili course

O level credit ilikuwepo mkuu nilikuwa na c ya math
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…