Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi chaguliwa huna Advanced Mathematics.Nimelaliza kidato cha sita 2024 nimesoma special diploma na nimesomea kombi ya PCE Yan physics, chemistry na Education na nimepata div 1 ya 6. Physics B, chemistry A na education C. Je kwa matokeo haya naweza kusoma petroleum geology vyuo vya hapa na nje
Kwa sababu alipenda Education akamtoa Maths akamweka Education, sasa akaandae notice na Vitabu vya physics na chemistry auze apige PesaKwa nini uliikimbia Maths?
Kwa nini uliikimbia Maths?
Hapo ndipo alipojichanganya.Kwa sababu alipenda Education akamtoa Maths akamweka Education, sasa akaandae notice na Vitabu vya physics na chemistry auze apige Pesa
Vyuo vya kati hivoKombi inaitwa PCE duuuh
Hapo nzuri ni Petroleum Chemistry au Petroleum EngineeringKasome kwenye guide book ya mwaka huu dogo, hapa watakuyeyusha tu na hakuna mwenye uhakika .
Petroleum geology, petroleum chemistry pale udsm wanataka D mbili kwa either (chemistry, physics or advanced mathematics) yoyote kati ya hayo same ukienda pale DMI kuna kozi ya oil and gas engineering wao pia requirements ni hizo hizo not necessarily uwe na advanced math, kikubwa nahisi upass walau olevel hesabu pia kama sikosei (kaangalie tena)
However, sikushauri ukasome hiyo kozi unless you have your own plans
Hayo mafuta yatakuja kuwauunguzaHapo nzuri ni Petroleum Chemistry au Petroleum Engineering
Petroleum engineering ina uzuri gani?Hapo nzuri ni Petroleum Chemistry au Petroleum Engineering
Hiv hii comb haina soko kubwa hapa Tanz6Kasome kwenye guide book ya mwaka huu dogo, hapa watakuyeyusha tu na hakuna mwenye uhakika .
Petroleum geology, petroleum chemistry pale udsm wanataka D mbili kwa either (chemistry, physics or advanced mathematics) yoyote kati ya hayo same ukienda pale DMI kuna kozi ya oil and gas engineering wao pia requirements ni hizo hizo not necessarily uwe na advanced math, kikubwa nahisi upass walau olevel hesabu pia kama sikosei (kaangalie tena)
However, sikushauri ukasome hiyo kozi unless you have your own plans
Yeah nilipangiwa special diploma pale kasulu teachers college but mfumo wa hii program tulikuwa tunasoma kama advance kabicVyuo vya kati hivo
Kila kozi ni changamoto hapa bongo, kwa izi kozi za petroleum ikitokea umekosa kuajiriwa ni ngumu kujishikiza (just fikiria wewe mwenyewe utafanya nini ikiwa umekosa ajira??).Hiv hii comb haina soko kubwa hapa Tanz6
Kasomee ushonaji nguo na vyupiNimelaliza kidato cha sita 2024 nimesoma special diploma na nimesomea kombi ya PCE Yan physics, chemistry na Education na nimepata div 1 ya 6. Physics B, chemistry A na education C. Je kwa matokeo haya naweza kusoma petroleum geology vyuo vya hapa na nje
Kwanini aachane nazo wakati ndio zenye helaNarudia tena achana na kazi za petrol