Somo hili limekuwa na matokeo mabaya si kwa shule za sekondari tu bali pia hata shule za msingi, kwa miaka zaidi ya sita iliyopita wameendelea kutuaminisha kuwa ufaulu umeongezeka kila mwaka,yawezekana lakini kwa asilimia hizo ni hatari.
Jambo la kusikitisha Sana hakuna jitihada za maksudi zinazotekelezwa na serikali katika kuondokana na tatizo hili.
Serikali iwaajili walimu wa sekondari wa somo hilo ambao kwa miaka mitano hawakuajiliwa ili wakaongeze nguvu na kuziba pengo la walimu wengi waliostaafu. Kwa sasa mwalimu mmoja anaweza kuwa anafundisha kitato cha 1 hadi cha nne mikondo a hadi c.
Na walimu wa shule za msingi waliopo kwa sasa waongezwe maarifa na mbinu nzuri zaidi za ufundishaji wa somo hili kupitia kozi fupifupi kwa awamu. Lakini pia huko nako walimu waajiliwe.
Majengo mengi yaliyojengwa yaendane na utoshelevu wa walimu hasa wa hisabati.
Jambo la kusikitisha Sana hakuna jitihada za maksudi zinazotekelezwa na serikali katika kuondokana na tatizo hili.
Serikali iwaajili walimu wa sekondari wa somo hilo ambao kwa miaka mitano hawakuajiliwa ili wakaongeze nguvu na kuziba pengo la walimu wengi waliostaafu. Kwa sasa mwalimu mmoja anaweza kuwa anafundisha kitato cha 1 hadi cha nne mikondo a hadi c.
Na walimu wa shule za msingi waliopo kwa sasa waongezwe maarifa na mbinu nzuri zaidi za ufundishaji wa somo hili kupitia kozi fupifupi kwa awamu. Lakini pia huko nako walimu waajiliwe.
Majengo mengi yaliyojengwa yaendane na utoshelevu wa walimu hasa wa hisabati.