Jibu zuri sana,na je'kati ya Mo na Manara nani anaweka pesa pale Simba?Inahitajika PESA pale Simba
Mo anaweka pesa ila haitakiwi kuwa kwenye maamuzi. Mo ni kichwa kibovu.Jibu zuri sana,na je'kati ya Mo na Manara nani anaweka pesa pale Simba?
Jibu zuri sana,na je'kati ya Mo na Manara nani anaweka pesa pale Simba?
Maamuzi yepi sasa hayo utoe mfano alikataa kutoa pesa za kusajili au?Mo anaweka pesa ila haitakiwi kuwa kwenye maamuzi. Mo ni kichwa kibovu.
Embu nambie basi hao wenye 51% wametoa kiasi gani?,kumbuka hizi timu za Simba na Yanga ni tegemezi,kabla ya Mo Simba ilikua dhoofu lhali hata mishahara,bonas na mambo mengine huwa wanatembeza bakuli,alipojitoa Manji kwa Yanga ilikua ni hali tete kwa Yanga.Muwekezaji ana hisa 49% ila mbona anaota mapembe kama amenunua timu (mmiliki kwa 100%)
Mfano ni inshu ya leo ya chama, anatana kumwingilia hasi sebuleni kwake. Pia press conference yake ya juzi inaonesha hindi gani ni mtu ambaye sio smart katika kuamua kipi aseme, kipi aaache.Maamuzi yepi sasa hayo utoe mfano alikataa kutoa pesa za kusajili au?
Hisia tu hizi,mchezaji sio shabiki atacheza Simba kesho atasajiliwa na Yanga,mchezaji asipolipwa stahiki zake anasepa tu awezi kubaki.Mo anahitajika kwa vile ndio yupo.Ila kwa hali hii ya sasa hivi pesa wala hazitakuwa na tija kabisa.
Jiulize kama Chama amemu unfollow Mo huko insta,unadhani nini kitatokea uwanjani tena?
Jiulize pia ni wachezaji wangapi hawafurahii jinsi Mo anavyofanya kiasi kwamba wanaonesha wako tayari kutumika ili kumuumiza anayewalipa mshahara?
Kweli binadamu ni shida sana
Haya sio majibu niliyouliza!Mfano ni inshu ya leo ya chama, anatana kumwingilia hasi sebuleni kwake. Pia press conference yake ya juzi inaonesha hindi gani ni mtu ambaye sio smart katika kuamua kipi aseme, kipi aaache.
Hili swali huwezi kujibiwa zaidi utaambulia matusi.Muwekezaji ana hisa 49% ila mbona anaota mapembe kama amenunua timu (mmiliki kwa 100%)