Kwa ufupi: Wrong citation inavyotokea

IKUNGURU IJIRU CHUKU

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2021
Posts
484
Reaction score
545
Ukipeleka shauri (ombi) mahakamani nyaraka lazima zitaje sheria inayoipa uwezo Mahakama kushughulikia na kumpa Muombaji hicho anachoomba.

Pale ambapo mwombaji kwenye nyaraka anayoombea hicho anachoomba hataji hiyo sheria stahiki bali sheria nyingine ndipo wrong citation inapotokea
 
Na anaye kuambia umefanya makosa hatakiwi kukupa kifungu?

Naona kama nikusumbuanatu akili kwakua huyo anayekuambia umefanya wrong citation anajua kifungu ulichoacha kuandika.

Labda waseme uwepo muda wa marekebisho tena
 
Mahakama haiwezi kuipa hiyo kesi "oxygen" iendelee?

Haiwezi kuwa ni "curable" mistakes?
 
Makosa kwenye nyaraka muhimu za kesi yanaruhusiwa kurekebishwa kesi ikiwa inaendelea kusikilizwa mahakamani ?
Na anaye kuambia umefanya makosa hatakiwi kukupa kifungu?
Naona kama nikusumbuanatu akili kwakua huyo anayekuambia umefanya wrong citation anajua kifungu ulichoacha kuandika.
Labda waseme uwepo muda wa marekebisho tena
 
Point yako ni ipi, what do you want to substantiate, kwamba jaji yuko sahihi? au kwa vile hii siyo application
 
Sawa mwanasheria, lakini hizi sheria siku hizi mnajifunza kwa masafa mnaelewa Kweli?
Hivi Polisi akiandika caution statement na akacite sec 57(33) CPA cap 20 (RE 2020) hayo maelezo yatapokelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…