Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kwenye keyboard kila kitu kinawezekana.
Kushangilia tutaenda...Nenda uwanjani siku hiyo uone.
Kushangilia tutaenda...
Burundi ni taifa la vita...sasa Ndugu yangu ulitarajia nini?? Mimi binafsi niliwahi kwenda pale na timu ya Taifa maka ya tisini mwanzoni...msafara wetu uliongozwa na Kanali Moses Nnauye (sasa marehemu)...tulikuwa tunaogopa balaa, yaani ukiwa Burundi unalazimmika kuwa mpole kabisa..Watu wenyewe ni watu wa shari kabisa....mkileta fujo hapa TZ ni lazima tutaondolewa hata kwenye michuano yenyewe...Warundi siyo tu watu wa vita lakini pia ni walalamishi..jambo dogo wanaweza wakalikuza na kusikilizwa..1. Wamempiga Mwandishi wa Habari wa Michezo Mohamed Zubery ( wa kutoka Mtandao wa Bin Zubeiry ) pamoja na kuwaweka ndani Kituoni Yeye na Mwandishi mwenzake Oscar Oscar ( kutoka Efm na Dstv ) na Meneja wa Timu ya Taifa Daniel Msangi na Kumuharibia Vifaa vyake vya Kazi.
2. Askari waliokuwepo Uwanjani walimfuata Mtanzania aliyekuwa akilinda Vyumba vya Wachezaji wetu na wakamtishia na Silaha na wakamuondoa kwa nguvu.
3. Wakati Mchezo wa Taifa Stars ( Tanzania ) na Intamba Murugamba ( Burundi ) ukiendelea ' Makomandoo ' wa Burundi waliingia katika Vyumba vya Kubadilishia Nguo Wachezaji na Kumwaga Sumu ili Kuwadhoofisha Wachezaji wetu hali iliyosababisha Timu isiingie Vyumbani wakati wa Mapumziko.
4. Waandishi wa Habari wa Michezo walioongozana na Timu wamenyanyasika mno Uwanjani.
5. Mashabiki hasa wale ' Makomandoo ' wao waliufanyia Fujo Msafara wa Viongozi wa TFF uliokuwa ukiongozwa na Msemaji wa TFF Clifford Ndimbo.
6. Timu yetu imefanyiwa Vitendo vingi na vya Ajabu vya Kishirikina tena wazi wazi kabisa.
7. Watanzania waliokuwepo pale Uwanjani wametukanwa Matusi makubwa na ya Nguoni na Waburundi utadhani Sisi Tanzania hatujawasaidia katika Amani yao na hatujawatunzia Wakimbizi wao.
Tunaiomba Serikali ya Tanzania iwe Kimya na ituvumilie kidogo Sisi ' Mashabiki Mafia ' wa Soka la Tanzania ili nasi tujibu Mapigo kwa Waburundi Siku ya Jumapili ya tarehe 8 Septemba pale watakapokuja kurudiana nasi Jijini Dar es Salaa katika Uwanja wa Mkapa ( zamani kwa Mchina ) na wakirejea Kwao Bujumbura nchini Burundi wataenda Kuwahadithia Wenzao.
Watanzania ifike mwisho sasa Kujifanya ni Wakarimu sana kwa Wageni wanapokuja nchini Kwetu kwa Kigezo cha kwamba Sisi ni Wastaarabu na hapa ni Kisiwa cha Amani. Kumbukeni Mipira ya sasa ni Vita hivyo Mapambano huwa yanatakiwa kuwa ni ya ndani na nje ya Uwanja hivyo hakuna kuwaonea Huruma hawa Waburundi bali nasi tulipize Kisasi kwa kuwafanyia Unyama kuliko Wao.
Naunga mkono hii hoja!Kulipiza ni kuwatoa tu.
Burundi ni taifa la vita...sasa Ndugu yangu ulitarajia nini?? Mimi binafsi niliwahi kwenda pale na timu ya Taifa maka ya tisini mwanzoni...msafara wetu uliongozwa na Kanali Moses Nnauye (sasa marehemu)...tulikuwa tunaogopa balaa, yaani ukiwa Burundi unalazimmika kuwa mpole kabisa..Watu wenyewe ni watu wa shari kabisa....mkileta fujo hapa TZ ni lazima tutaondolewa hata kwenye michuano yenyewe...Warundi siyo tu watu wa vita lakini pia ni walalamishi..jambo dogo wanaweza wakalikuza na kusikilizwa..
Mi Naomba tu kujua ivi ule uwanja wakule Burundi 2lioutumia kucheza nao jana je ndio uwanja wao wataifa.? Mana unaonekana kama hivi viwanja vyetu vya mikoani tu
Tupange location ya maandalizi maanake haiwezekani South tupigwe na Burundi tunyanyaswe ngoja sasa tutaona
Sio mikoani,sema kama cha mabatini pale mlandiziMi Naomba tu kujua ivi ule uwanja wakule Burundi 2lioutumia kucheza nao jana je ndio uwanja wao wataifa.? Mana unaonekana kama hivi viwanja vyetu vya mikoani tu
Umekua Mtanzania toka lini?Hilo siyo suala la kuongea wewe acha utaona show kamili itakuwaje. Hakuna mtu mjinga kama mtanzania sema tu hatutaki kufanya ujinga.
Warundi wamedanganyika na hizo hujuma.
Tangu nilipozaa na mama yako nikawa mtanzania wa kufikia.Umekua Mtanzania toka lini?
nyie ni mazuzu hamuwezi kulipiza kisasi kaka angu, haizidi haipungui mtawapokea kwa unyenyekevu na mkithubutu kuwafanyia chochote askari polisi wenu watapiga virungu nakuwetegua viuno1. Wamempiga Mwandishi wa Habari wa Michezo Mohamed Zubery ( wa kutoka Mtandao wa Bin Zubeiry ) pamoja na kuwaweka ndani Kituoni Yeye na Mwandishi mwenzake Oscar Oscar ( kutoka Efm na Dstv ) na Meneja wa Timu ya Taifa Daniel Msangi na Kumuharibia Vifaa vyake vya Kazi.
2. Askari waliokuwepo Uwanjani walimfuata Mtanzania aliyekuwa akilinda Vyumba vya Wachezaji wetu na wakamtishia na Silaha na wakamuondoa kwa nguvu.
3. Wakati Mchezo wa Taifa Stars ( Tanzania ) na Intamba Murugamba ( Burundi ) ukiendelea ' Makomandoo ' wa Burundi waliingia katika Vyumba vya Kubadilishia Nguo Wachezaji na Kumwaga Sumu ili Kuwadhoofisha Wachezaji wetu hali iliyosababisha Timu isiingie Vyumbani wakati wa Mapumziko.
4. Waandishi wa Habari wa Michezo walioongozana na Timu wamenyanyasika mno Uwanjani.
5. Mashabiki hasa wale ' Makomandoo ' wao waliufanyia Fujo Msafara wa Viongozi wa TFF uliokuwa ukiongozwa na Msemaji wa TFF Clifford Ndimbo.
6. Timu yetu imefanyiwa Vitendo vingi na vya Ajabu vya Kishirikina tena wazi wazi kabisa.
7. Watanzania waliokuwepo pale Uwanjani wametukanwa Matusi makubwa na ya Nguoni na Waburundi utadhani Sisi Tanzania hatujawasaidia katika Amani yao na hatujawatunzia Wakimbizi wao.
Tunaiomba Serikali ya Tanzania iwe Kimya na ituvumilie kidogo Sisi ' Mashabiki Mafia ' wa Soka la Tanzania ili nasi tujibu Mapigo kwa Waburundi Siku ya Jumapili ya tarehe 8 Septemba pale watakapokuja kurudiana nasi Jijini Dar es Salaa katika Uwanja wa Mkapa ( zamani kwa Mchina ) na wakirejea Kwao Bujumbura nchini Burundi wataenda Kuwahadithia Wenzao.
Watanzania ifike mwisho sasa Kujifanya ni Wakarimu sana kwa Wageni wanapokuja nchini Kwetu kwa Kigezo cha kwamba Sisi ni Wastaarabu na hapa ni Kisiwa cha Amani. Kumbukeni Mipira ya sasa ni Vita hivyo Mapambano huwa yanatakiwa kuwa ni ya ndani na nje ya Uwanja hivyo hakuna kuwaonea Huruma hawa Waburundi bali nasi tulipize Kisasi kwa kuwafanyia Unyama kuliko Wao.
Nawaonea huruma hawa warundi maana kikinuka sawasawa sijui kambi zao kule katumba mishamo wataishije.Wasiwavuruge watanzania ni zaidi ya mama zao.Hilo siyo suala la kuongea wewe acha utaona show kamili itakuwaje. Hakuna mtu mjinga kama mtanzania sema tu hatutaki kufanya ujinga.
Warundi wamedanganyika na hizo hujuma.