nimebahatika kumiliki kiwanja kwenye potential area hapa dar-es-salaam , ukweli ni kwamba serikali lazima ichukue hatua madhubuti sana ili kuzuia maafa mengine yasitokee, wafanyabiashara wengi niliofanya nao mazungumzo kuhusu joint venture wote walisisitiza kwamba engineer ni wa kwake na hataki nilete engineer wangu hata kuhakiki mradi, ukifikiria mara mbili kama muelewa ni wazi kwamba kuna kitu kinachakachuliwa kwenye ubora wa mradi,
kikubwa zaidi nina jirani yangu ameingia ubia na mfanyabiashara mmoja kwenye ujenzi wa ghorofa, lakini kutokana na maelezo ya mtaalamu wake wa ujenzi kwamba vifaa vinavyotumika kama matofali hayana ubora , na kwamba hela inaongea.....
jamani tutateketea kwa mtindo huu, mamlaka husika zianze kufuatilia ubora wa majengo haswa maeneo ya obay, upanga, na kariakoo ambapo kuna utitiri wa maghorofa kuhakiki ubora.​
kikubwa zaidi nina jirani yangu ameingia ubia na mfanyabiashara mmoja kwenye ujenzi wa ghorofa, lakini kutokana na maelezo ya mtaalamu wake wa ujenzi kwamba vifaa vinavyotumika kama matofali hayana ubora , na kwamba hela inaongea.....
jamani tutateketea kwa mtindo huu, mamlaka husika zianze kufuatilia ubora wa majengo haswa maeneo ya obay, upanga, na kariakoo ambapo kuna utitiri wa maghorofa kuhakiki ubora.​