Vijana kwa maneno..,we unaujua sana moyo wa mapenzi eeti? Haya hujamkabidhi moyo wote.,umemkabidhi kiasi gani.,robo,theluthi,nusu,robo tatu.?
Hizo zote mbwembwe.,huyo bi dada kakushika tena pabaya kama ni paka kashikwa shingoni,ingekuwa ng'ombe kashikwa kwa pembe..wacha kabisa huwezi kuruka.,na usjaribu,siku mtakayo achana ndo utajua kuwa ulimpa moyo wote.,.
Ushauri..
Panda gari nenda mfuate,.acha mawivu na jakamoyo unayojipa.Kampe mambo,hakikisha anaenda kibo mpk waarabu wake washuke.Usisahau kumbebea zawadi kama vyupi,perfume wanapenda mambo madogo hawa..,
When someone doubts u too much.. There's a huge possibility anadhani unafanya kile anachofanya yeye huko alipo.. So both of you have something in common.. Either wote mna cheat au mpo very insecured!
Basi mkishaoneshwa kupendwa mna pozi. Mmegombana ila mwenzio kajirudi lakini bado unataka kufanya mambo yawe magumu.
...wewe umeongea neno la ukweli....
Solution ni ipi sasa...?
kweli we ukisema A mwingine anasema HA...... I never trust my partner all my life.....
....how do u trust urs...???
....let me make this more clearer..... mimi nimfanyakazi na yeye n mfanyakazi ... twaishi mikoa tofauti........ na mara nyingi uwa twapeana maswali ya "KUSHUKIANA"... ...kama hakuna anayemuamini mwenzie... Nafikiri mmenielewa naw..
.....ninaishi mbali na mpenzi wangu.... Nimetofautiana nae jioni ya leo..... kama mnavyojua mapenzi ya mbali hayakosi wivu.....
...baada ya kutoelewana kwa muda....akatuma hii msg...
..."YAANI MPENZI SIKU ZINAVYOKWENDA NDO UNAZID KUUTEKA MOYO WANGU,NIHURUMIE NATESEKA JUU YAKO(yani mimi)..akaendelea... "SINA IMANI NA MULE KWAKO....UTALALA PEKE YAKO KWELI...." mwisho wa nukuu....
Sasa ndugu zangu ni kweli huyu anamaanisha mapenzi ya dhati....
.....ninaishi mbali na mpenzi wangu.... Nimetofautiana nae jioni ya leo..... kama mnavyojua mapenzi ya mbali hayakosi wivu.....
...baada ya kutoelewana kwa muda....akatuma hii msg...
..."YAANI MPENZI SIKU ZINAVYOKWENDA NDO UNAZID KUUTEKA MOYO WANGU,NIHURUMIE NATESEKA JUU YAKO(yani mimi)..akaendelea... "SINA IMANI NA MULE KWAKO....UTALALA PEKE YAKO KWELI...." mwisho wa nukuu....
Sasa ndugu zangu ni kweli huyu anamaanisha mapenzi ya dhati....