Kwa ujumbe huu unawezaje kupinga mbio za Mwenge wakati unaunga mkono Mikutano ya Hadhara?

Kwa ujumbe huu unawezaje kupinga mbio za Mwenge wakati unaunga mkono Mikutano ya Hadhara?

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
FsoGjOZXoAgu-Rk
 
Hizo mbio za mwenge ni ujinga tu. Kiufupi hazina tija yoyote ile kwa dunia ya sasa.
 
Mwenge ndio Dawa sawia ya mabeberu.
Uwamulike kokote waliko.
Utuangazie walipojificha.

Kwani Ni tunu Chanya kwa taifa letu.

Tutakapokubali huu mwenge uzimwe, mjue Ubeberu utatapakaa Duniani.

Aluta Continua
 
kama kazi ya mwenge ni kumulika na kufichua madudu ktk miradi ya maendeleo n.k, kwanini hawawezi kubadilisha awe ni mtu mwenye cheo chake eidha waziri mkuu, CAG, Rais au yeyote mwenye mamlaka ili iwe ni mtu badala ya huo mwenge..!!?
 
Back
Top Bottom