Kwa ulichomfanyia mdogo wangu, tutakutafuta tu ewe mwanamke

Hahaha. Kama hii story ni kweli. Hivi inakuaje watu wanashindwa kutambua mtu aliyerukwa na akili baada ya kumuangalia machoni na kuongea nae?
 
When a woman is fed up,nothing you can do about it...
 
Huyu uchawi atakuwa nao sio bure.
 
Huyu mwanamke alikuwa ana harisha au ?!

Ila wanawake wana kunya aisee, alafu wana jifanya wasafi.
Eti zamani nilidhani wanawake hawajambi kwa jinsi wanavyokuwa wasafi,wazuri kumbe WEEEEE WEEEEEE!! moto wa kuotea mbali kuliko hata sisi wanaume.

Acheni unafiki wanawake.

Hapa nazungumzia wasichana wa sasa toa mama zetu kwa heshima.
 
Mleni tiGo huyo
 
Jf raha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…