Kwa umaarufu wa EPL... unampa ushauri gani Samatta?

Msichoke

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
569
Reaction score
400
Club ya Cardiff inaonesha nia ya kuwania huduma ya Mtanzania Mbwana Samatta. Binafsi namsihi Mbwana amalizie msimu na KRC Genk ili aanze maisha mapya na msimu mpya na asiache unfinished business pale Ubelgiji coz kuna dalili za ubingwa ili kujenga CV yake. Pia naona Cardiff wanashuka daraja so sio sehemu sahihi. Je wewe unaonaje Samatta aende tu Cardiff, kama watatoa dau ambalo Genk watavutiwa nalo? View attachment 994629View attachment 994630

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Club ya Cardiff inaonesha nia ya kuwania huduma ya Mtanzania Mbwana Samatta. Binafsi namsihi Mbwana amalizie msimu na KRC Genk ili aanze maisha mapya na msimu mpya na asiache unfinished business pale Ubelgiji coz kuna dalili za ubingwa ili kujenga CV yake. Pia naona Cardiff wanashuka daraja so sio sehemu sahihi. Je wewe unaonaje Samatta aende tu Cardiff, kama watatoa dau ambalo Genk watavutiwa nalo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Club ya Cardiff inaonesha nia ya kuwania huduma ya Mtanzania Mbwana Samatta. Binafsi namsihi Mbwana amalizie msimu na KRC Genk ili aanze maisha mapya na msimu mpya na asiache unfinished business pale Ubelgiji coz kuna dalili za ubingwa ili kujenga CV yake. Pia naona Cardiff wanashuka daraja so sio sehemu sahihi. Je wewe unaonaje Samatta aende tu Cardiff, kama watatoa dau ambalo Genk watavutiwa nalo? View attachment 994632View attachment 994633

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asipo sogea ligi nyingine mwisho wa msimu inaweza asiende tena maana saiz ndo anauzika
 
Ushauri wangu kwake ni Asije tena asije Kwenda EPL kabisa kwa Club yeyote,
Kule wanariadha,wanakimbiza Mpira tuuu,Atachoka Mapema,Kama anakipenda kipaji chake Aende LA liga,Clubs kama Valencia,espaniol,Atletico Madrid,Villarreal nk!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aje Simba maana itachukua kilabu bingwa Afirika na kushiriki kombe LA dunia kwa vilabu huko ataonekana kilrahisi na timu kombe maana Simba itaingia fainali ya hilo kombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amalize msimu kwanza kama akichukua ubingwa na akawa mfungaji bora atapata timu nzuri zaidi ya cardif..bora abaki timu inayoshiriki hata europa kuliko cardif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea point mleta uzi. Achukue ndoo ya ubelgiji kwanza kama ikiwezekana kama top scorer summer transfer asepe.
 
Genk inacheza Uropa, ila Cardiff hawamo na wapo mkiani EPL.
Mi naona Apambane abebe ubingwa wa Belgium au top scorer ili awe na kiburi zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…