Kwa Umafia huu mkubwa wa FA ya Mbeya, Ihefu FC wakisaidiwa na Watu wa Simba SC 'Unbeaten Record' ingeisha tu leo

Kwa hyo hakuna sheria ya jezi???hv we jamaa unajua nini kwenye soka??sasa kwanini kuna jezi ya home na ya away??bora uwe unapiga kimya tu muda mwingine
Achana na hilo Pumbavu ( Pang'ang'a ) Mkuu sawa? Ukiona namdharau sana Mtu hapa JamiiForums jua pia kuwa ni Mental Case ( Mwendawazimu ) kama huyu malantu
 
Mzee wa kutunga stori (mzee wa propaganda) siku hizi mchezo wa mpira umekuwa watu wakiamka wanajiamulia tu. Endelea kudanganya wehu wenzio
Mbona hata 'Aliyekuzaa' nae ni Mwehu kama ulivyoniita Mimi na wala hushangai?
 
Mbona hata 'Aliyekuzaa' nae ni Mwehu kama ulivyoniita Mimi na wala hush

Mbona hata 'Aliyekuzaa' nae ni Mwehu kama ulivyoniita Mimi na wala hushangai?
Hujui mpira kashabikie rede. Eti jezi na uwanja mtu anaamka na kujibadilishia kama ndondo vile halafu timu ya Yanga wafuate tu ukiukwaji wa sheria. Umestukiwa popoma unawadanganya watu
 
Hua anawachota mandezi wenzake
 
Kwa hyo hakuna sheria ya jezi???hv we jamaa unajua nini kwenye soka??sasa kwanini kuna jezi ya home na ya away??bora uwe unapiga kimya tu muda mwingine
Yanga kamfunga Simba akiwa na jezi ipi? Karne hii bado una amini vitu vya kijinga hivyo?
 
Habari ya kipuuzi hi i ni ajabu pia Kama watu wataicomment na kuiamini Kama umeweza kupata taarifa hizi Leo ulishindwaje kuzipata tango mwaka mzima na usher Tanga wakiwa bila kufungwa ? Non sence
 
Habari ya kipuuzi hi i ni ajabu pia Kama watu wataicomment na kuiamini Kama umeweza kupata taarifa hizi Leo ulishindwaje kuzipata tango mwaka mzima na usher Tanga wakiwa bila kufungwa ? Non sence
Hauna Akili acha kunipotezea muda!!
 
Yanga kamfunga Simba akiwa na jezi ipi? Karne hii bado una amini vitu vya kijinga hivyo?

Sasa kama mnajua mnaweza kumfunga simba na jezi hizo mbona hamtaki kuvaa mpaka mnakiuka sheria za bodi ya ligi?
 
Sasa kama mnajua mnaweza kumfunga simba na jezi hizo mbona hamtaki kuvaa mpaka mnakiuka sheria za bodi ya ligi?
umesikia wapi hio habari,? anyway endelea na jamaa yako Genta akujaze uongo
 
JF imekua ya kipuuzi sana siku hizi, watu wameigeuza fb, majukwaa tuliyokua tunapata taarifa serious na reliable siku hizi yamejaa story za kizushi hazina logic, hazina ushahidi.
Unazungumzia kubadili uwanja huoneshi kanuni zinavyosema, unahusisha mambo ya Jezi huoanishi na kanuni. Na watu walivyo wa ajabu nao wanaamini tu.Ingekua kule kwingine tungesema mtu anaandika il kutafuta followers, sasa humu JF unatafuta followers wakusaidie nini zaidi ya ujuha tu.
Pathetic.
 
Rubbish and Nonsensical.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…