LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Chama kwa sasa ni 37-38, kwa umri wake ni kwamba Yanga wamempata Dakika za jioni sana pale ni msimu mmoja tu watampa thank you, sababu cha kwanza mshahara mkubwa alafu Yanga yenyewe imekamilika hata chama asingesajiliwa pale Yanga ilikuwa na kikosi kizuri hata huyo chama tu uwezekano wa kupigwa benchi pale upo kama hatakiwasha
Kingine ana tabia za kucheza na akili za watu mkataba ukiisha ili aongezewe hela
Chama katumika kishabiki ila Gsm wakishamaliza kumtumia kifuatacho ni kustaafu ndani ya.mwaka mmoja
Kingine ana tabia za kucheza na akili za watu mkataba ukiisha ili aongezewe hela
Chama katumika kishabiki ila Gsm wakishamaliza kumtumia kifuatacho ni kustaafu ndani ya.mwaka mmoja