tuwe wakweli
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 223
- 59
Kwa mara ya 2 narudi jukwani kwani mara ya 1 sikupata support,ni kwamba.
1.Kuna automatic incubator inayotumia solar power?
2.Kama ipo,ya mayai 3,000 inauzwaje na inatumia watt ngapi?
3.Changamoto za ukuzaji vifaranga n zp ili vipone?
AHSANTE NAWASILISHA
1.Kuna automatic incubator inayotumia solar power?
2.Kama ipo,ya mayai 3,000 inauzwaje na inatumia watt ngapi?
3.Changamoto za ukuzaji vifaranga n zp ili vipone?
AHSANTE NAWASILISHA