Kwa unyenyekevu mkubwa, ombi kwa BBC na DW

Kwa unyenyekevu mkubwa, ombi kwa BBC na DW

kissa anyigulile

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2017
Posts
1,550
Reaction score
1,742
Tafadhali, sisi wakazi wa Wilaya ya Rungwe Mbeya na maeneo yote yanayozunguka, tunaomba sana Muwaruhusu Radio Chai FM waturushie matangazo yenu. Bila kupendelea au kuleta ushabiki, ni radio moja tunayoitegemea sana hapa kwetu.

Asanteni
 
Back
Top Bottom