ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kunywa tu hospital zipo, japo utakalolipata huenda lisiwe na dawaKwa siku nakunywa pespi tatu mpaka nne ninaweza kukamatwa na mtego gani wa kuugua au hakuna maradha ?
Maradhi utayopata yanaitwa kuchapiwa\kugongewa syndrome! Maana ukishatibwilisa ma insulin ukaanza kula vyakula bila chumvi itapendeza tukiruka na wife wako!Kwa siku nakunywa pespi tatu mpaka nne ninaweza kukamatwa na mtego gani wa kuugua au hakuna maradha ?
Hahahaha......Mkuu ni bora bidii hiyo uielekeze kutafuta UKIMWI kuliko KISUKARI.