Kwa 'Upuuzi' wa 'Kisiasa' na 'Kiutawala' wa Donald Trump ningewadharau kuliko 'Wamarekani' kama 'wangemrudisha' tena Ikulu ( WH )

Kwa 'Upuuzi' wa 'Kisiasa' na 'Kiutawala' wa Donald Trump ningewadharau kuliko 'Wamarekani' kama 'wangemrudisha' tena Ikulu ( WH )

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama ndani ya miaka yake minne ( 4 ) tu kafanya 'Mapungufu' makubwa yafuatayo ya 'Kiutendaji' akiwa Ikulu ( WH ) kwanini arudishwe?

1. Kaharibu Sera ya Nje ya Marekani na Mataifa makubwa
2. Aliifanya Ikulu ( WH ) kama ni Ofisi yake binafsi na Wanafamilia wake
3. Aliionyesha wazi wazi Chuki yake hasa kwa Watu Weusi na Masikini
4. Aliharibu kabisa Idara zake za Usalama huku Yeye akionyesha Kutumika na Urusi na kutaka Kuhatarisha Usalama wa Marekani
5. Alishindwa Kudhibiti 'White Supremacy' ambayo ilianza kuota Mizizi kutoka kwa Polisi wa Marekani kwa Watu Weusi
6. Alijikita sana katika Kulaumu, Kushutumu na Kutishia Mataifa mengine na siyo Kuijenga zaidi Marekani Kiuchumi
7. Chuki yake kwa Wahamiaji na hata Uwasilishaji wake uliojaa Kiburi na Jeuri hakika Mwenyezi Mungu asingeacha Kumlaani

Walichoamua Wamarekani ni Jambo 'jepesi' tu kwamba bora 'tutawaliwe' na Mzee ( Babu ) Joe Biden kuliko 'Popoma' moja 'tukuka' Donald Trump.
 
Kwa idadi ya kura na gap iliyojitokeza mbona inaonyesha yupo vizuri tu na kama wasingesusia kupiga kura kwa njia ya Posta ni wazi angebaki madarakani
 
Trump Was A Sham To The Civilized Society In America....

He Acted As A Bussinessman Does To His Corporates....

Americans Deserved Better Commander- in-Chief Than His MEDIOCRACY and the FILTHY MOUTH....
 
Lakini the fact that he has been competitive tells that he still enjoys support of a lot of Americans.
Angekuwa 'Competitive' kama usemavyo na sijui anaungwa mkono na Wamarekani ( japo umeandika kwa Kiingereza chako kibovu ) hivi 'angeanguka' na hatimaye 'Pure Diplomat' Joe Biden Kushinda au Kumshinda?

Katika Lugha ya Kiingereza hakuna 'a lot of Americans' kama ulivyoandika hapa bali kuna Kiingereza sahihi cha 'most of Americans' au 'majority of Americans' sawa? Mnakipenda 'Kiingereza' lakini bahati mbaya hakiwapendi kabisa.
 
Trump Was A Sham To The Civilized Society In America....

He Acted As A Bussinessman Does To His Corporates....

Americans Deserved Better Commander- in-Chief Than His MEDIOCRACY and the FILTHY MOUTH....
Mkuu kwani umeambiwa kuwa GENTAMYCINE ni Mzungu au Muingereza au ni 'Wordsmith' sana mpaka umeniandikia 'Ung'eng'e' huu nisiouelewa?
 
Angekuwa 'Competitive' kama usemavyo na sijui anaungwa mkono na Wamarekani ( japo umeandika kwa Kiingereza chako kibovu ) hiki 'angeanguka' na hatimaye 'Pure Diplomat' Joe Biden Kushinda au Kumshinda? Katika Lugha ya Kiingereza hakuna 'a lot of Americans' kama ulivyoandika hapa bali kuna Kiingereza sahihi cha 'most of Americans' au 'majority of Americans' sawa? Mnakipenda 'Kiingereza' lakini bahati mbaya hakiwapendi kabisa.
😁 😁 😁 Mkuu unanifurahishaga sana, siyo uzi wako au majibu, lazima nicheke tu!
 
Ajabu ni pale unapopiga Trump kuchaguliwa tena lakiji unaunga mkono Magu kurudi madarakani wakatu tabio zao zikiwa zinafanana.
Kumfananisha Trump na Magufuli ni sawa na Kumfananisha Malaika ( John Magufuli ) na Shetani ( Donald Trump ) Uchaguzi Tanzania umekwisha.
 
Hizo ni hisia zako na kujaribu kutumia jicho la elimu toka Bihawana kuangalia siasa za USA

Watu 68M waliomchagua trump hawana akili?
 
🤣🤣

Yaani Kichwa Wewe Uliyesoma na swahiba wangu mzalendo mh.Patrobass Paschal Katambi Pale SAUT ushindwe kuelewa ung'eng'e wa tandale kwa Mtogole?!!!
Huyo Patrobas wako nadhani atakuwa alimaliza nyuma yangu Mkuu na nimefurahi sana Kujua kumbe nae alisoma Chuo Kikuu cha 'Geniuses' SAUT.
 
Shukran na Karibu sana Mkuu japo leo hasa jioni hii / usiku huu nina 'Hasira' kidogo kwa Mwamuzi Mkono wa Simba na Yanga 'alivyoiua' tu Simba.
Lakini Mkuu si tayari ulishasema mapema wazee wamepiga ramli na imeonyesha kua 'Kinyota' leo simba hawashindi na sanasana ni sare au kichapo na tuvae jezi pmoja na shati juu.
 
Hizo ni hisia zako na kujaribu kutumia jicho la elimu toka Bihawana kuangalia siasa za USA

Watu 68M waliomchagua trump hawana akili?
Kabla ya Kuniuliza Mimi kuwa Wamarekani Milioni 68 wana Akili au hawana naomba nianze nawe Kwanza je, Wewe unadhani / unajiona una Akili?
 
Lakini Mkuu si tayari ulishasema mapema wazee wamepiga ramli na imeonyesha kua 'Kinyota' leo simba hawashindi na sanasana ni sare au kichapo na tuvae jezi pmoja na shati juu.
Na si umeona kuwa kile nilichokitabiri kuwa Ushindi wa Simba leo ni Sare ( Draw ) na kutakuwa na Penati na Mchezaji muhimu Kuumia kimetokea?
 
Back
Top Bottom