Kwa usajili huu simba kuwa mnyonge sana msimu wa 2019/2020

Kwa usajili huu simba kuwa mnyonge sana msimu wa 2019/2020

Mayala B

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2019
Posts
2,109
Reaction score
5,284
Aman itamalaki

Kwa usajil huu unaoendelea pale msimbazi kisajili wachezaji wasio na mbele wala nyuma na kuwaongezea mikataba wachezaji waliojichokea basi simba poleni sana

Kocha mtamfukuza mapema sana


Uzi ubaki hadi mwisho wa musimu

Lakin mtakuwa wanyonge sana na wateja wa kila team


Mayala B
 
Kwamba Balinya ndio aitishe Simba?
Balinya ni mchezaji wa kawaida sana na leo nimebahatika kumsikia wakala wake ambaye pia ni wakala wa Medie kagere akizungumza kwamba Simba walimwambia wanataka international player na sio national player hivyo Balinya alifeli hakuwa na hicho kigezo.
 
Acha kujitekenya na kujichekesha mwenyewe kwenye topic yangu sijamtaja mchezaji yeyote. Punguza kimuhe muhe wewe mjukuu wa bibi hindu
Kwamba Balinya ndio aitishe Simba?
Balinya ni mchezaji wa kawaida sana na leo nimebahatika kumsikia wakala wake ambaye pia ni wakala wa Medie kagere akizungumza kwamba Simba walimwambia wanataka international player na sio national player hivyo Balinya alifeli hakuwa na hicho kigezo.
 
Kwamba Balinya ndio aitishe Simba?
Balinya ni mchezaji wa kawaida sana na leo nimebahatika kumsikia wakala wake ambaye pia ni wakala wa Medie kagere akizungumza kwamba Simba walimwambia wanataka international player na sio national player hivyo Balinya alifeli hakuwa na hicho kigezo.
Unazidiwa hata na mtoto wa darasa la 4
 
Aman itamalaki

Kwa usajil huu unaoendelea pale msimbazi kisajili wachezaji wasio na mbele wala nyuma na kuwaongezea mikataba wachezaji waliojichokea basi simba poleni sana

Kocha mtamfukuza mapema sana


Uzi ubaki hadi mwisho wa musimu

Lakin mtakuwa wanyonge sana na wateja wa kila team


Mayala B
Usije ukaukimbia Uzi wako huu tafadhali ukaanza kelele kwamba Simba kabebwa
 
Acha kujitekenya na kujichekesha mwenyewe kwenye topic yangu sijamtaja mchezaji yeyote. Punguza kimuhe muhe wewe mjukuu wa bibi hindu
Mayala Tyombana mogange ndezu, unafikiri sijui nini ulikusudia kuleta uzi huu kwa hadhira?

Simba ni professional team with a professional directors haifanyi vitu kizamani, wewe sijui msukuma wa wapi mshamba
 
Kama kweli Simba wana mpango wa kuacha kumsajili Kotei wajue yatawakuta yale yale ya Hamisi Tambwe. Kotei anaweza kucheza kiungo mkabaji, beki wa kati, beki wa pembeni na kiungo mshambuliaji. Na kote anacheza vizuri sana. Kotei anapora mipira sana kitu ambacho viungo wengi wa ligi kuu hawana labda kidogo namuona Fei Toto anakuja vizuri.
 
Kwamba Balinya ndio aitishe Simba?
Balinya ni mchezaji wa kawaida sana na leo nimebahatika kumsikia wakala wake ambaye pia ni wakala wa Medie kagere akizungumza kwamba Simba walimwambia wanataka international player na sio national player hivyo Balinya alifeli hakuwa na hicho kigezo.
Na yule beki wa Singida nae ni International Player?
 
Aman itamalaki

Kwa usajil huu unaoendelea pale msimbazi kisajili wachezaji wasio na mbele wala nyuma na kuwaongezea mikataba wachezaji waliojichokea basi simba poleni sana

Kocha mtamfukuza mapema sana


Uzi ubaki hadi mwisho wa musimu

Lakin mtakuwa wanyonge sana na wateja wa kila team


Mayala B
Tunza hii pumba yako.
 
Kwamba Balinya ndio aitishe Simba?
Balinya ni mchezaji wa kawaida sana na leo nimebahatika kumsikia wakala wake ambaye pia ni wakala wa Medie kagere akizungumza kwamba Simba walimwambia wanataka international player na sio national player hivyo Balinya alifeli hakuwa na hicho kigezo.
Kwa hyo Mzee Kagere ndio International player?
 
Kwa habari zilizonifikia ni kwamba Leo huyu nae huenda akatambulishwa au wanaweza wasimtambulishe Leo kwa sababu ya uvujaji huu. Hata simjui anatokea wapi huyu.
 

Attachments

  • IMG-20190618-WA0036.jpg
    IMG-20190618-WA0036.jpg
    56.2 KB · Views: 62
Hao directors ni kina nani? Mtakula mlikopeleka hati!
Hati ya jengo la Simba mmiliki wake ni Simba sports club na sio mtu! Hiyo dhana potofu mliyonayo endeleeni kuwa nayo akili za kimaskini hizo yani Yanga na kilomoni wote masikini.

Unajua mapato ya jengo la Simba yanayopatikana huwa yanaenda wapi na yanafanya kazi gani?
Bodi ya wakurugenzi ya Simba sina haja ya kukutajia ni kina nani kwa sababu wewe ni Yanga
 
Hati ya jengo la Simba mmiliki wake ni Simba sports club na sio mtu! Hiyo dhana potofu mliyonayo endeleeni kuwa nayo akili za kimaskini hizo yani Yanga na kilomoni wote masikini.

Unajua mapato ya jengo la Simba yanayopatikana huwa yanaenda wapi na yanafanya kazi gani?
Bodi ya wakurugenzi ya Simba sina haja ya kukutajia ni kina nani kwa sababu wewe ni Yanga
Kwa hiyo mmeamua kuja na staili ya kusajili wasiojulikana siyo!
 
Back
Top Bottom