Tetesi: Kwa usajili huu Simba, maumivu hayatokwisha karibuni

Tetesi: Kwa usajili huu Simba, maumivu hayatokwisha karibuni

Ganda Mweri

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2018
Posts
303
Reaction score
887
Kwa mujibu wa vyanzo nyeti kutoka klabu yetu pendwa, ni kwamba kocha Robertinho ametoa mapendekezo yafuatayo.

Beki wa kati wa rayon sports, na winga wa rayon sports Henry ntima. ( Wachezaji 2).

Winga wa Vipers Martin kiiza, na yule golikipa wa Vipers yule mkongomani. ( Wachezaji 2).

Huyu kocha yeye anaamini katika wachezaji aliowahi kuwafundisha. Mimi nilifikiri tutatafuta wachezaji wenye uzoefu mkubwa na michuano ya kimataifa, Yeye anaenda kutafuta wachezaji hata robo fainali klabu bingwa kwao ni ndoto.

Mimi nawashauri viongozi kuwa makini na mapendekezo ya huyu kocha aliyetuambia hajawahi kufundisha mchezaji hatari kama kibu Denis( alipomuona mazoezini), Vinginevyo hata mwakani tutegemee maumivu tu.
 
Simba wasirudie makosa waliyofanya wakati wanamwajili kocha Maki, kocha aseme anataka wachezaji wa aina gani.
Tunao mawinga wengi Tena wazuri hawapi nafasi kama Banda, Okrah yeye anang'ang'ana na Kuna Saidoo, tunahitaji kiungo mukabaji, mshambuliaji wa kati, beki wa kati, msaidizi wa Shabalala na kipa sijui kwanini wameshindwa kumalizana na Kakolanya
 
Simba wasirudie makosa waliyofanya wakati wanamwajili kocha Maki, kocha aseme anataka wachezaji wa aina gani.
Tunao mawinga wengi Tena wazuri hawapi nafasi kama Banda, Okrah yeye anang'ang'ana na Kuna Saidoo, tunahitaji kiungo mukabaji, mshambuliaji wa kati, beki wa kati, msaidizi wa Shabalala na kipa sijui kwanini wameshindwa kumalizana na Kakolanya
Suala la kulazimisha Saidoo kucheza ni la kimkataba msimlaumu Robertinho. Suala hili mwenye maslahi nalo ni Try again mwenye percent zake kwenye huo mkataba.
Suala la Kakolanya nalo mwenye uzito ni Try again ambaye kablla ya Beno kusaini mkataba wa awali SBS aliomba kuanzisha mazungumzo ya mkataba mpya akapewa signing fee ya 50m wakati kuna timu zimeweka mezani kwake 100m. Akaomba angalau Kwa mapenzi aliyonayo aongezewe mshahara na S/F iwe 80m lakini akaambiwa Hana thamani hiyo. Leo mkataba umeisha yuko huru ndo wanajifanya kumuhitaji. Hivi Kwa nchi hii unaweza kumwacha kizembe Beno Kakolanya aliyekuwa kipa No.1 Yanga na Kwa mapenzi akakubali kuwa No.2 Simba, utampata wapi kipa No.2 wa kiwango chake?
 
Suala la kulazimisha Saidoo kucheza ni la kimkataba msimlaumu Robertinho. Suala hili mwenye maslahi nalo ni Try again mwenye percent zake kwenye huo mkataba.
Suala la Kakolanya nalo mwenye uzito ni Try again ambaye kablla ya Beno kusaini mkataba wa awali SBS aliomba kuanzisha mazungumzo ya mkataba mpya akapewa signing fee ya 50m wakati kuna timu zimeweka mezani kwake 100m. Akaomba angalau Kwa mapenzi aliyonayo aongezewe mshahara na S/F iwe 80m lakini akaambiwa Hana thamani hiyo. Leo mkataba umeisha yuko huru ndo wanajifanya kumuhitaji. Hivi Kwa nchi hii unaweza kumwacha kizembe Beno Kakolanya aliyekuwa kipa No.1 Yanga na Kwa mapenzi akakubali kuwa No.2 Simba, utampata wapi kipa No.2 wa kiwango chake?
Hawa viongozi wetu Bado Wana uswahili Swahili.
 
Simba tusiajiri kocha. Sisi mashabiki tunajua sana. Tusajili na tupange kikosi.
 
Kwa mujibu wa vyanzo nyeti kutoka klabu yetu pendwa, ni kwamba kocha Robertinho ametoa mapendekezo yafuatayo.

Beki wa kati wa rayon sports, na winga wa rayon sports Henry ntima. ( Wachezaji 2).

Winga wa Vipers Martin kiiza, na yule golikipa wa Vipers yule mkongomani. ( Wachezaji 2).

Huyu kocha yeye anaamini katika wachezaji aliowahi kuwafundisha. Mimi nilifikiri tutatafuta wachezaji wenye uzoefu mkubwa na michuano ya kimataifa, Yeye anaenda kutafuta wachezaji hata robo fainali klabu bingwa kwao ni ndoto.

Mimi nawashauri viongozi kuwa makini na mapendekezo ya huyu kocha aliyetuambia hajawahi kufundisha mchezaji hatari kama kibu Denis( alipomuona mazoezini), Vinginevyo hata mwakani tutegemee maumivu tu.
Anataka kuleta yaleyale ya kocha kuja na wachezaji wake(muthungu Dejan)
 
Simba wasirudie makosa waliyofanya wakati wanamwajili kocha Maki, kocha aseme anataka wachezaji wa aina gani.
Tunao mawinga wengi Tena wazuri hawapi nafasi kama Banda, Okrah yeye anang'ang'ana na Kuna Saidoo, tunahitaji kiungo mukabaji, mshambuliaji wa kati, beki wa kati, msaidizi wa Shabalala na kipa sijui kwanini wameshindwa kumalizana na Kakolanya
Kakolanya huyu ana ujivuni mwingi sana. Nakumbuka alivyoondoka yanga nikajua mwisho umefika. Gadiel Michael hata mechi 20 hajaanza na anatemwa mwaka huu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom