Kwa ushirikina huu wa Kufuru uliofanyika uwanja wa Karume mkoani Mara tunaelekea kubaya

kaka binafsi nimekuelewa sana maana vituko hivo nimeanza kuvisikia jana redion, ila kinachonisikitisha ni kuwa kuna timu zitapanda daraja pasina uwezo harisi, iliniuma sana mechi ya dodoma na alliance, wale watoto wa alliance ni academy ambao wamekuwa na uwezo mzuri sana dimbani lakini kiukweli kuna baadhi ya viongozi TFF wana lao jambo.biashara na dodoma zina wakinga kifua.hizi mech zingekuwa zinaonekana live ingepunguza uozo mwingi wa waamuzi
 
Uchawi ni pale ambapo mmeshafanya hayo yote halafu mnakung'utwa bao 4kwenda5 na kwa sababu psychology mlishajiaminishia ushindi mnajikuta mnafanya vurugu zinazowafanya mshushwe daraja mkaanze upya.
 
Hiyo ya 4 kanzu na majini ni damudamu
 
Ningeomba Gentamycine unifuate PM ili unipe maelezo kwa kirefu juu ya tuhuma namba mbili inayo husisha kuzikwa/kufukiwa kwa viungo vya Albinus.
 
Kukwambia umaakili ndogo ni tusi kweli?haya basi unaakili nyingi sijui nalo ni tusi!!!
 
Kwa mtiririko wa matukio hayo nina uhakika wewe ni mlinzi uwanjani hapo....

Mambo hayo ni ya kulaaniwa na yanakwamisha soka...
 
Hivyo vituko vyote alivyoelezea mleta mada vilitangazwa jana na Clouds kupitia kipindi chake cha michezo cha saa 3 usiku. Ila kituko cha kufukia kiungo cha mtu sikusikia.
 
Muda huo yanatokea hayo matukio ww ulikua umekaa wapi?
 
Alliance anacheza mpira mzuri. Mungu awasimamie wasijishirikishe na ndumba.
 
Wewe wakati huo hayo anafanyika ulikuwa wapi au aliyeona hayo yakitendeka anamaoni gani
 
Kuna kipindi cha mpira kilikua kinonyeshwa itv miaka fulani kuna segment ilikua inaitwa African Magic, humo utaona magoli ya ajabu kabisa na kipa kuokoa kwa mtindo wa ajabu mno.
Bila shaka african soccer show nakumbuka moja golikipa wa AS Vita club alizika kichwa cha kuku kwenye goli tena camera zinamchukua kabisa na kwelu hakufungwa goli mechi nzima ikiwemo kuchomoa penati dakika za lala salama

Uchawi kwenye soka la afrika kweli upo
 
Wakati haya yote yanafanyika wewe ulikuwa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…