Kwa utaalam huu wa Kibongo, wanafaa kuanzisha shirika mpya la usafiri wa anga

Kwa utaalam huu wa Kibongo, wanafaa kuanzisha shirika mpya la usafiri wa anga

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hizi drones za Kibongo haziwezi kudunguliwa hata kule Marekani au Iran, zinapaa na kugeuza geuza angani, ni utaalam wa kipekee. Inafaa Ulaya waanze kuja Afrika kujifunza maana kwa sayansi zao zote hawajafikia kiwango hiki.
Mtu anapaa kwa ungo usiku bila hata kutegemea taa au mwanga wowote....

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vipaji hivyo...sio kila siku kusifia wazungu!!?

Waafrika sijui tulikwamia wapi,vipaji kama hivi vingetufikisha mbali sana..
 
NAKWEDE mbona unang'aka, hutaki tutangaze utaalaam wetu Waafrika, hao kila siku wanatutambia inter-continental ballistic missiles zenye uwezo mkubwa wa kuchana anga kutoka bara moja hadi la pili, hutuona maboya tu wapasua matofali kwa kichwa, hawajui na sisi tuna uwezo wa kumkuta Trump au Putin kwake nyumbani bila kuonekana.
 
Na sasa tunategemea kutoa uvumbuzi wa kutoweka kwa mifuko ya kibera kwa mazingaombwe
 
NAKWEDE mbona unang'aka, hutaki tutangaze utaalaam wetu Waafrika, hao kila siku wanatutambia inter-continental ballistic missiles zenye uwezo mkubwa wa kuchana anga kutoka bara moja hadi la pili, hutuona maboya tu wapasua matofali kwa kichwa, hawajui na sisi tuna uwezo wa kumkuta Trump au Putin kwake nyumbani bila kuonekana.
TZ tumejaaliwa ubunifu ila serikali tu ijaweka baajeti ya kuendeleza vipaji ila ingewekeza saizi tungekua mbali maana ukifumba ukifumbua tu ushafikiswa kibela unadhani nauli ingekuwa sh ngapi ila serikali yetu haimtambui mwenye kipaji
 
The lady is speaking in a tribal language contrary to the Swahili JF Kenya haters bark about. Kumbe hizi Bantu languages are that similar... hehehehe "mbiti" ni fisi in Kamba, Embu and Mbeere language na in Kikuyu ni "Hiti". Penda sana, actually I could pick some few words from the lady and understand them without translation.
 
The lady is speaking in a tribal language contrary to the Swahili JF Kenya haters bark about. Kumbe hizi Bantu languages are that similar... hehehehe "mbiti" ni fisi in Kamba, Embu and Mbeere language na in Kikuyu ni "Hiti". Penda sana, actually I could pick some few words from the lady and understand them without translation.

Aha ha
Think you are quite different, simply becoz you comes from kibera.
 
haya ni maigizo tu kama yale ya wale jamaa wakenya waliojifanya kuiba gari,au wale waliogandana au yule jamaa aliyejifanya amekufa kule south
 
Hizi drones za Kibongo haziwezi kudunguliwa hata kule Marekani au Iran, zinapaa na kugeuza geuza angani, ni utaalam wa kipekee. Inafaa Ulaya waanze kuja Afrika kujifunza maana kwa sayansi zao zote hawajafikia kiwango hiki.
Mtu anapaa kwa ungo usiku bila hata kutegemea taa au mwanga wowote....



Yaani hizi drones zikifika sehemu kunafanyika maombi, zinakata chaji na kudondoka. Hivyo ukitaka kuidungua piga tu maombi ya kumaanisha.
 
Rubani na drone yake, hongera mama kwa kuiwakilsha Afrika....


1566410497863-jpeg.1187052
 
waafrika tukifanya yetu tunaambiwa wachawi. ila yesu akitembea juu ya maji ni miujiza
 
Ungo si ungo ule unaoujua, ni kama ungo tu ule wasichana wanauvunja.
 
Hizi drones za Kibongo haziwezi kudunguliwa hata kule Marekani au Iran, zinapaa na kugeuza geuza angani, ni utaalam wa kipekee. Inafaa Ulaya waanze kuja Afrika kujifunza maana kwa sayansi zao zote hawajafikia kiwango hiki.
Mtu anapaa kwa ungo usiku bila hata kutegemea taa au mwanga wowote....


Mara nyingi ukisikia "mchungaji" au kanisa fulani la mchungaji fulani yanatokea hayo ujuwe ni mchezo wa kuigiza. Watu wanajuwa kutafuta kiki.
 
haya ni maigizo tu kama yale ya wale jamaa wakenya waliojifanya kuiba gari,au wale waliogandana au yule jamaa aliyejifanya amekufa kule south
Wana heri wasiotapeliwa kijinga kama wewe. I dont trust at all maigizo ya kiimani haya. Na ukiona watu wengi wanatapeliwa na maigizo ya namna hii ndiyo ujue level yetu ya uelewa ni ndogo sana. Watu wangu wanakufa kwa kukosa maarifa by Bible.
 
Back
Top Bottom