Kwa utaalamu wa Diplomasia Rais Mtarajiwa Bernard Membe yuko vizuri sana

Kwa utaalamu wa Diplomasia Rais Mtarajiwa Bernard Membe yuko vizuri sana

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Kwa Nyie Diaspora
Mgombea mwenye kutetea maslahi yenu kwenye suala la Uraia pacha ni Bernard Membe
Katika hii clip Rais Mtarajiwa Bernard Membe anazungumzia Umuhimu wa uraia pacha, anatambua magumu mnayopitia huko katika nchi mnazoishi
  • Kwa mfano katika nchi ambazo Healthcare costs ni ndogo sana kutokana na serikali za huko kusubsidize, nyie ambao bado ni raia wa Tanzania na mnaishi huko mnajikuta hamuwezi kunufaika vilivyo kwa sababu siyo raia wa huko
  • Na wale ambao ni Raia wa huko tayari mnajikuta mnakosa benefits mbalimbali zilizoko katika nchi yenu ya asili yaani Tanzania
Kitu kingine ni kuwa kumbe Mheshimiwa Membe anaimudu vizuri sana lugha ya Kiingereza, huyu ataweza kukaa chini na wawekezaji wakubwa, na viongozi wakubwa duniani kuweza kuvutia uwekezaji nchini. Huyu Jemedari yuko vizuri sana

 
Wenye uchu wote wa madaraka hawatatawala nchi hii! Membe kinacho msumbua ni zile hasira za Kwa nini kafukuzwa, kwamba afanye nini sasa kingine baada ya kutimuliwa

Bahati Nzuri anajua na anauhakika kabisa kuwa hawezi kuwa Raisi wa nchi hii,iwe Kwa Kura ama Kwa namna yoyote ile
 
Naona umekuja kufanya tafiti ili ujue anakubalika kiasi gani na hauoni hata aibu..😂
 
Mkuu fadhiri, hivi hata huko upinzani watu simati wameisha mpaka mtuletee huyo??

Na nyinyi wapinzani hamjielewi
Kwanza mimi huwa nashangaa vijana wa miaka ya 80 na 90 kushabikia chama zee cha mwaka 1954.
 
Hiyo dipromasia inakusaidia nini wewe. Kama zamani aalikuwa anafanya hiyo dipromasia lakini hali ya kiuchumi na maendeleo kwa nchi hayakuonekana sasa atasaidia nini?

Hiyo dipromasia akafanye na mke wake na watoto.
 
Wachache kama nyie hamtompigia kura, ila walio wengi tutamchagua kwa sababu Anaenda kuondoa matendo ya utekaji na kuonea onea watu nchini
Poor timing, muda mzuri wa kugombea ni 2025. Sababu Magufuri ana miradi yetu mikubwa anatakiwa aimalize. Hivyo atachaguliwa na ubaya wake wote ili miradi ya barabara, maji, reli, umeme na madaraja makubwa akamilishe, ndipo atatoka. Kwa sasa mnapoteza muda ila 2025 hata kama hajamalkza miradi hiyo, lzm akapumzike
 
Kwanza mimi huwa nashangaa vijana wa miaka ya 80 na 90 kushabikia chama zee cha mwaka 1954.
Chama hata kiwe kipya kiasi gani kama hakina watu simati nitakipendaje sasa hicho Chama?

CCM ni la wahenga, lakini Bado linawatu makini kuliko hivyo vyama vyenu hivyo miaka zaidi ya ishirini Bado mnaokoteza vilivyotupwa kutoka CCM, mmeshindwa kutengeneza watu wenu ili wawe wagombea Uraisi, nitaanzia wapi kupenda visivyoweza kujibrand vyenyewe mkuu?
 
Infantry Soldier nimeipigia kura Tanzania. Wewe mzalendo mwenzangu unasubiri nini mpaka sasa?????

ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. IPIGIE KURA YA NDIO NCHI YAKO PLEASE PLEASE PLEASE.

Tanzania has been nominated for the 27th World Travel Awards 2020. To WIN in the nominated categories your SUPPORT and VOTE is much NEEDED. The voting ends on 22 August 2020.

To vote use the following link Vote – World Travel Awards then log in or register for new account.

Vote for Tanzania to win the categories of:
Africa's leading airport
Africa's leading tourist attraction
Africa's leading beach destination
Africa's leading destination
Africa's leading national park
Africa's leading tourist board
YOUR VOTE COUNTS!
 
Bora Membe mara 1000 kuliko kibaka lissu. Upinzani twende na membe 2020
 
Kwa Nyie Diaspora
Mgombea mwenye kutetea maslahi yenu kwenye suala la Uraia pacha ni Bernard Membe
Katika hii clip Rais Mtarajiwa Bernard Membe anazungumzia Umuhimu wa uraia pacha, anatambua magumu mnayopitia huko katika nchi mnazoishi
  • Kwa mfano katika nchi ambazo Healthcare costs ni ndogo sana kutokana na serikali za huko kusubsidize, nyie ambao bado ni raia wa Tanzania na mnaishi huko mnajikuta hamuwezi kunufaika vilivyo kwa sababu siyo raia wa huko
  • Na wale ambao ni Raia wa huko tayari mnajikuta mnakosa benefits mbalimbali zilizoko katika nchi yenu ya asili yaani Tanzania
Kitu kingine ni kuwa kumbe Mheshimiwa Membe anaimudu vizuri sana lugha ya Kiingereza, huyu ataweza kukaa chini na wawekezaji wakubwa, na viongozi wakubwa duniani kuweza kuvutia uwekezaji nchini. Huyu Jemedari yuko vizuri sana

Labda awe rais wa rondo
 
Back
Top Bottom