Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Chanzo siyo mwanamke, chanzo ni tabia.Ukiskia mwanaume amebaka chanzo ni
MWANAMKE.
Kwa iko kakuibiwa kanaangaliwaga ama vp?Chanzo siyo mwanamke, chanzo ni tabia.
Kwani hata mwizi huiba kwa uwepo wa kitu cha kuiba ama ni tabia?
Jamaa anaangalia neema za uumbaji
wapi huko??? chitchat MMU au?? analia kuhusu niniaise una kesi kule, kuna jamaa analia juu yako