LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Huko instagram dada yetu amecharuka [emoji116]
Ikumbukwe kuwa dada yetu baada ya kupona kutokana na madhara ya madawa ya kulevya aliokoka, kwa sasa anaishi England
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikumbukwe kuwa dada yetu baada ya kupona kutokana na madhara ya madawa ya kulevya aliokoka, kwa sasa anaishi England
Sent using Jamii Forums mobile app