Kwa vijana wenye biashara kipato kati, kuna mbia anawahitaji

philosopher1

Member
Joined
Sep 17, 2010
Posts
23
Reaction score
8
Kwa wale wenye nia ya kweli na wanaotaka kufanya biashara katika mazingira yenye uaminifu, kkuna mchina yuko tayari kusponsor biashara yako, isipokuwa kwa sharti moja , malipo yafanywe kwa bank, through letter of credits, utatoa deposit asilimia 30% atagharamia asilimia 70, utamlipa asilimia 8% kutoka hiyo asilimia 70% , ushauri wangu, ni bora watu mkaungana , 0653835995, kwa maelezo
 
Fafanua vzur mkuu kpato cha kati kam awe na capital kias gan na biashara gan mikataba ikoje ya hiyo biashar
 

mh hapa umakini unahitajika
 
Aisee hiyo kitu fafanua vizuri aisee bado haijaeleweka
 
Sounds more kama mkopo na hiyo 8% ni interest rate.
 
Fafanua vzur mkuu kpato cha kati kam awe na capital kias gan na biashara gan mikataba ikoje ya hiyo biashar
Nadharia za darasani zinasema ...biashara ya kati INA mtaji kuanzia 200 milion hadi 800 na wafanyakazi 50-99...ndivyo ilivyo.
 
Mm ndoo naanzaa biashara ya kufuga mbwa huyo mchina atakubali mbwa WA spishi mbali mbali
 
Ninabiashara nataka kuianza kufanya lakini nimebakiza kidogo kumalizia mladi ila Nina woga kwanxa kuweka 30% .?
 
Wazo zuri ila mtoa mada anatufanya tuwe na maswali mengi zaidi ya majibu,fafanua ueleweke
 
Haya maelezo hayatoshelezi, kuna chembe chembe za utapeli hapa
 
hapa kuna mtu anaenda kupigwa siyo muda mrefu maana naona kuna mchina ndani duuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…