GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe "Wachezaji wetu Yanga SC wamerogwa"
Mashabiki wa Yanga SC "Wachezaji wetu wanalewa sana na kupiga mno Miti / Kungonoka"
Uongozi wa Yanga SC "Hatumuelewi Kocha Gamondi ni Mbishi, Mjivuni na Mbaguzi wa Wachezaji"
Hakika aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) aliposema (ipo YouTube) kuwa Mashabiki wa Yanga SC ni kama Nyani, Mbwa na Sokwe yawezekana alikuwa sahihi kwa 100% sema tu kwakuwa Waswahili huwa hatupendi Ukweli tukamuona Mbaya na Kawatukana.
Na bado. Kudadadeki!
Mashabiki wa Yanga SC "Wachezaji wetu wanalewa sana na kupiga mno Miti / Kungonoka"
Uongozi wa Yanga SC "Hatumuelewi Kocha Gamondi ni Mbishi, Mjivuni na Mbaguzi wa Wachezaji"
Hakika aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael (Raia wa Ubelgiji) aliposema (ipo YouTube) kuwa Mashabiki wa Yanga SC ni kama Nyani, Mbwa na Sokwe yawezekana alikuwa sahihi kwa 100% sema tu kwakuwa Waswahili huwa hatupendi Ukweli tukamuona Mbaya na Kawatukana.
Na bado. Kudadadeki!