GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Popoma unahangaika kama kuku anayetaka kutaga.
Mashabiki na viongozi wa Yanga wanasumbuliwa na ugonjwa unaoitwa apedomia (UNYANI) by the late Christopher Mtikila
Rais wa Ubelgiji tena.Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe "Wachezaji wetu Yanga SC wamerogwa"
Mashabiki wa Yanga SC "Wachezaji wetu wanalewa sana na kupiga mno Miti / Kungonoka"
Uongozi wa Yanga SC "Hatumuelewi Kocha Gamondi ni Mbishi, Mjivuni na Mbaguzi wa Wachezaji"
Hakika aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael (Rais wa Ubelgiji) aliposema (ipo YouTube) kuwa Mashabiki wa Yanga SC ni kama Nyani, Mbwa na Sokwe yawezekana alikuwa sahihi kwa 100% sema tu kwakuwa Waswahili huwa hatupendi Ukweli tukamuona Mbaya na Kawatukana.
Na bado. Kudadadeki!
Itafute youtubeUmenikumbusha mch. Mtikila apedomia. Naomba video yake Kama unayo
Na badoo mtaita mayi mmaaPopoma unahangaika kama kuku anayetaka kutaga.
Uchochezi!😀😀Mod mtu wenu karudi..
Tusubiri kujam kwa server kwa threads za kiwaki.
Naitafta siipati, hata msaada wa link basiItafute youtube
7 - stop