Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Dk. Khumalo ameua kabisa
Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini amesema kwa vituko vile alivyoviona kutoka kwa Onyango anaaminiii Orlando Pirates wamebadilisha mawazo yao kumsajili
Huwezi kuwa na mchezaji kama yule Ligi ya Afrika Kusini hii. Hata hivyo ameonya Kaizer Chiefs isiende kwa kuidharau Simba na kukiri mechi za CAF zinamambo mengi sana uwanjani hayo magoli manne wasijiamini sana.
Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Afrika Kusini amesema kwa vituko vile alivyoviona kutoka kwa Onyango anaaminiii Orlando Pirates wamebadilisha mawazo yao kumsajili
Huwezi kuwa na mchezaji kama yule Ligi ya Afrika Kusini hii. Hata hivyo ameonya Kaizer Chiefs isiende kwa kuidharau Simba na kukiri mechi za CAF zinamambo mengi sana uwanjani hayo magoli manne wasijiamini sana.