Kwa vyovyote vile Adv Nkuba akishinda Uchaguzi TLS umma utaamini ameshinda kwa njia za Napenization

Kwa vyovyote vile Adv Nkuba akishinda Uchaguzi TLS umma utaamini ameshinda kwa njia za Napenization

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Namba hazidanganyi hata kama akishinda kwa halali bado sifa yake ya kuwa mwanachama wa chama cha mapinduzi inaonekana kama imemchafua.

Siku hizi ukiwa kijana na ukawa mwanaccm jamii na vijana wenzako wanakutazama kwa jicho la Tofauti kabisa na huwenda ikakukosesha fursa muhimu. Njia pekee inayoweza kukuokoa ni Napenization Method.

Katk Mdahalo unaoendelea Hapa Star TV Adv Kajunjumele Mwabukusi anaonekana kutia Fora kwa hoja murua na kwa kujiamini sana. Anaonekana Ku stand out the cloud kama Mgombea Bora anayeweza kusimamia Tasisi yenye Hadhi kama TLS.

Huko Youtube Channel nako mambo ni Bam Bam ni Mwabukusi Mwabukusi karibu kwa Watazamaji wote.

Namba Hazidanganyi tazameni wenyewe hapa Chini.

Screenshot_2024-07-27-22-19-01-735_com.google.android.youtube.jpg
Screenshot_2024-07-27-22-18-48-316_com.google.android.youtube.jpg
Screenshot_2024-07-27-22-17-59-390_com.google.android.youtube.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-27-22-18-27-619_com.google.android.youtube.jpg
    Screenshot_2024-07-27-22-18-27-619_com.google.android.youtube.jpg
    1.7 MB · Views: 5
Simjui vizuri sana ila kwa leo nimemuona yuko smart kichwani isipokuwa kuna wakati Odemba alimbana hasa kwenye uccm wake jamaa amejikanyaga na kujichanganya but all in all yuko smart
Yuko vizuri kama Balile au
 
Nkuba Adv ndio Mgombea aliezungumza vyema na kuupiku Mdahalo.
Jamaa ni smart and Intelligent

Nkuba anakwenda kushinda hii nafasi tena wazi kabisa

Wafuasi wa Chadema awaiingii kupiga kura Bali Mawakili wasomi

Kiufupi Tls inakwenda kupata mtu sahihi na ni Adv Nkuba
 
Nkuba Adv ndio Mgombea aliezungumza vyema na kuupiku Mdahalo.
Jamaa ni smart and Intelligent

Nkuba anakwenda kushinda hii nafasi tena wazi kabisa

Wafuasi wa Chadema awaiingii kupiga kura Bali Mawakili wasomi

Kiufupi Tls inakwenda kupata mtu sahihi na ni Adv Nkuba
Nkuba ndiye ame flop zaidi katika Mdaharo ule,
 
Siku hizi ukiwa kijana na ukawa mwanaccm jamii na vijana wenzako wanakutazama kwa jicho la Tofauti kabisa
Unazungumzia vijana wa wapi?. Labda huko mikoani vijijini/kijini kwenu....hvi kijana uvae t-shirt ya CCM au uvae t-shirt ya Chadema ACt yupi watu watamshangaa?


Hata hao wakina Mangi The Mongolian Savage aka aka Maghayo siku wanashabikia cdm mitandaoni mtaani wanajificha.
 
Labda utakua chizi

Yaan Wewe utakua kama sio chizi ni mwehu
Wewe fala na lofa hata uwezo kuji assess mwenyewe huna halafu unataka kuja ku misinform watu hapa? Au unadhani tuliokuwa tunafuatilia wote ni wana ufinyu wa akili kama wale ambao siku zote mbele yao huwa unajifanya vocal? Ndiyo maana hata kubisha kwa hoja umeshindwa unaishia ku attack. Rudi kwa wenzako wakaendelee kuju babysit, huku umepotea siyo level yako
 
Null kwa kuwa hamkujiandaa kumsikiliza pia hampendi kumsikia, , na imewaumiza zaidi sababu mlitarajia angeongea kiharakati bahati mbaya kwenu mkakuta yupo well composed and organized.
Ameongea kiharakati, au huoni.
 
Simjui vizuri sana ila kwa leo nimemuona yuko smart kichwani isipokuwa kuna wakati Odemba alimbana hasa kwenye uccm wake jamaa amejikanyaga na kujichanganya but all in all yuko smart

20240728_072414.jpg
 
Kazi ya TLS siyo kutetea raslimali za nchi bali jukumu la TLS ni Kuisaidia Serikali na Mahakama kuhusu mambo yoyote yanayogusa sheria, utawala wa sheria na kazi za kisheria. Dhana hii ndiyo inayoiunganisha Taasisi hiyo na Mahakama ya Tanzania.

Kama Mwabukusi ni mwanaharakati basi TLS siyo mahali pake
 
Back
Top Bottom