Kwa vyovyote vile, Mjumbe wa sasa hana mwisho mzuri

Kwa vyovyote vile, Mjumbe wa sasa hana mwisho mzuri

Mackanackyyy

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2019
Posts
2,338
Reaction score
5,271
Sina kumbukumbu kama dunia imewahi kuwa na Mtawala baradhuli ambaye mwisho wake ulikuwa mwema, Labda CCM mtusaidie

Kiwango cha Ufedhuli katika Miaka yake mitano kinavuka fikra timamu ya kibinadamu

Na Mungu hadi sasa amemwacha lakini bado hasomi tu alama za nyakati.

Unakwendaje kwenye Uchaguzi huku majirani na dunia nzima ikiwa haikuhitaji?

Fikirini kauli Ile kwamba Kaka Lissu hapaswi kuishi. Mjumbe mwenye akili timamu hawezi kutoa akili ya kizembe namna ile, sasa nadhani anatamani hata aimeze kauli yake.

Utavuruga Uchaguzi halafu dunia nzima itakutaka Mshindi halali atangazwe, Vinginevyo uondolewe kwa nguvu mwisho unakuwaje hapo?
 
Watu mnao shabikia upinzani na Tundu Lisu mna akili nyembamba sana, kaeni bila vyama kama tulivyo wengine..upinzani gani huu mnaoupenda usio kua na tija,dira wala maana yoyote zaidi ya makelele tu.
 
Ninatamani sana kiwake, tutawatafuna wateule wake wote na wapiga debe wake wote. Na wale waliowahi kufanya matukio ovu kama yule polisi aliyemuuwa Mwangosi na akapandishwa cheo, makonda, Ighondu, Waliompiga risasi TL. waliomuuwa Mawazo, waliomteka Azory. Yaani list ni ndefu tutakuwa na kazi kubwa ya kuisafisha nchi.
 
Sasa kwa akili zako we unaona huyo NI YEYE alistahili kuwepo?

Kulala kwake kitandani miaka miwili nchi imeshuti maendeleo ya hali ya juu hadi kina mbowe hawajui namna ya kumuuza.

Anategemea sympathy votes
 
1598011194580.jpeg
 
Utawala wa mkono wa chuma huu, Jiwe hafai kuendelea kutuongoza tena.
 
Watu mnao shabikia upinzani na Tundu Lisu mna akili nyembamba sana, kaeni bila vyama kama tulivyo wengine..upinzani gani huu mnaoupenda usio kua na tija,dira wala maana yoyote zaidi ya makelele tu
Ngoja kampeni zianze kama hukutamani kumeza haya maneno yako.
 
Mpaka Sasa Lissu anaweza kumtaja Jina hadharani lakini yeye kamwe hawezi kutaja jina lake hadharani. Sabubi ni nini?? Hawezi kumtaja jinaa mtu aliyekwisha kufa.
 
Watu mnao shabikia upinzani na Tundu Lisu mna akili nyembamba sana, kaeni bila vyama kama tulivyo wengine..upinzani gani huu mnaoupenda usio kua na tija,dira wala maana yoyote zaidi ya makelele tu.
Na watu mnao shabikia CCM ni mataahira kabisaaaaa.
 
Back
Top Bottom