mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Kwa matokeo yoyote yale ila ni marufuku mtetemaji kutetema mbele ya simba!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngao ya jamiii vepeeeeKwa matokeo yoyote yale ila ni marufuku mtetemaji kutetema mbele ya simba!!
ile ni historia ambayo haitojirudia tena!Ngao ya jamiii vepeeee
ule ni wa jangwani!Mwiko Upi Bwashee ? Ni ule Unaelezwa siku zote kuwa Upo nyuma ?
Alitetema au hakutetema? Tena ndio aliwafungua bikraile ni historia ambayo haitojirudia tena!
Kwani Hajawahi Kuzigusa [emoji23]Mayele atazitamani ila hatazigusa nyavu za simba.
Anaweza akatatetema bila kutetemeshwa kama vile na Orlando Pirates,kuna mtu alipigwa na baridi huku kakunja vidole.Kwa matokeo yoyote yale ila ni marufuku mtetemaji kutetema mbele ya simba!!
Kibabu gani mkuu,Mayele kazi anayo! Na leo lazima tu kuna kibabu kimojawapo kitapewa kazi ya kumkamia. Ila kabla ya mchezo kuisha, lazima ateteme.
Akikujibu nitagAlitetema au hakutetema? Tena ndio aliwafungua bikra
Ni kweli kwa beki mbovu za simba ilikuwa lazima ateteme tuMayele kazi anayo! Na leo lazima tu kuna kibabu kimojawapo kitapewa kazi ya kumkamia. Ila kabla ya mchezo kuisha, lazima ateteme.
Alishatetema akamaliza kitambo labda kusema mengine ndugu msahaulifuKwa matokeo yoyote yale ila ni marufuku mtetemaji kutetema mbele ya simba!!