kwa wabena naomba mnisaidie majina haya yanasimama katika jinsia ipi?

kwa wabena naomba mnisaidie majina haya yanasimama katika jinsia ipi?

fierceman

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
553
Reaction score
757
kwenye mada moja kwa moja hivi majina kama vile lusungu, lukelo, twilumba na hata anjimie hivi majina haya huweza tumika kwa aina zote mbili za binadam nikimaanisha wanaume na wanawake au yanatumiwa kwa jinsia moja tu?
 
Twilumba na anjimie kwa mwanamke
Lusungu na lukelo kwa mwanaume..

Maana zake watakuja wataalumu zaidi
 
Back
Top Bottom