Izzi
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 553
- 1,144
Habari wana Jukwaa,
Sambamba na UZI HUU niliouleta kuhusu Wiki ya Ubunifu Mkoa wa Njombe, nimeona ni vyema nikaleta masasisho kuhusu matukio kuelekea Wiki ya Ubunifu kitaifa itakayofanyika Dodoma. Hapa nawaletea orodha ya Mikoa ambako kuna matukio yatafanyika, Taasisi zinazohusika kuyaandaa na Tarehe. Ikiwa unahitaji kushiriki basi wasiliana na Taasisi husika, ikiwa mawasiliano ni changamoto, naweza kukuunganisha nao - nina mawasiliano ya wote.
Yote haya yanafanyika kwa imani moja kubwa: Kwamba UBUNIFU utatusaidia kuyafikia maendeleo kwa haraka na kwa ufanisi zaidi.
NB: Kuna mikoa tayari wameshafanya.
1. ARUSHA: Westerwelle Foundation Tanzania - Tarehe 9 - 13 Mei, 2022.
2. DODOMA: Capital Space Limited - Tarehe 15 - 20 Mei, 2022.
3. IRINGA: R-Labs - Tarehe 12 - 14 Mei, 2022.
4. MBEYA: MUST - Tarehe 9 - 13 Mei, 2022.
5. ZANZIBAR: Cube Zanzibar - Tarehe 10 - 14 Mei, 2022.
6. MTWARA: SIDO - Tarehe 13 Mei, 2022.
7. MWANZA: SIDO - Tarehe 25 - 29 Aprili, 2022
8. TANGA: Projekt Inspire Ltd - Tarehe 6 Mei, 2022.
9. MOROGORO: The Arena of Taking Charge (TAOTIC) - Tarehe 6 - 13 Mei, 2022.
10. NJOMBE: Valiant Hands of Care (VAHACA) Foundation - Tarehe 11 - 13 Mei, 2022.
11. KILIMANJARO: Kilistart - Tarehe 6 - 7 Mei, 2022.
12. KAGERA: KADETFU - Tarehe 27 - 30 Aprili 2022.
13. KIGOMA: SIDO - Tarehe 9 Mei, 2022.
14. MARA: Buhare CDTI - Tarehe 9 Mei, 2022.
15. RUVUMA: Mlale Digital Innovation Centre - Tarehe 6 Mei, 2022.
16. DAR ES SALAAM: TAI Volunteers - Tarehe 9 - 12 Mei, 2022.
Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti hii: INNOVATION WEEK TANZANIA
Sambamba na UZI HUU niliouleta kuhusu Wiki ya Ubunifu Mkoa wa Njombe, nimeona ni vyema nikaleta masasisho kuhusu matukio kuelekea Wiki ya Ubunifu kitaifa itakayofanyika Dodoma. Hapa nawaletea orodha ya Mikoa ambako kuna matukio yatafanyika, Taasisi zinazohusika kuyaandaa na Tarehe. Ikiwa unahitaji kushiriki basi wasiliana na Taasisi husika, ikiwa mawasiliano ni changamoto, naweza kukuunganisha nao - nina mawasiliano ya wote.
Yote haya yanafanyika kwa imani moja kubwa: Kwamba UBUNIFU utatusaidia kuyafikia maendeleo kwa haraka na kwa ufanisi zaidi.
NB: Kuna mikoa tayari wameshafanya.
1. ARUSHA: Westerwelle Foundation Tanzania - Tarehe 9 - 13 Mei, 2022.
2. DODOMA: Capital Space Limited - Tarehe 15 - 20 Mei, 2022.
3. IRINGA: R-Labs - Tarehe 12 - 14 Mei, 2022.
4. MBEYA: MUST - Tarehe 9 - 13 Mei, 2022.
5. ZANZIBAR: Cube Zanzibar - Tarehe 10 - 14 Mei, 2022.
6. MTWARA: SIDO - Tarehe 13 Mei, 2022.
7. MWANZA: SIDO - Tarehe 25 - 29 Aprili, 2022
8. TANGA: Projekt Inspire Ltd - Tarehe 6 Mei, 2022.
9. MOROGORO: The Arena of Taking Charge (TAOTIC) - Tarehe 6 - 13 Mei, 2022.
10. NJOMBE: Valiant Hands of Care (VAHACA) Foundation - Tarehe 11 - 13 Mei, 2022.
11. KILIMANJARO: Kilistart - Tarehe 6 - 7 Mei, 2022.
12. KAGERA: KADETFU - Tarehe 27 - 30 Aprili 2022.
13. KIGOMA: SIDO - Tarehe 9 Mei, 2022.
14. MARA: Buhare CDTI - Tarehe 9 Mei, 2022.
15. RUVUMA: Mlale Digital Innovation Centre - Tarehe 6 Mei, 2022.
16. DAR ES SALAAM: TAI Volunteers - Tarehe 9 - 12 Mei, 2022.
Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti hii: INNOVATION WEEK TANZANIA