Kwa wachezaji waliopo sasa Simba klabu yoyote ya Afrika inakaribishwa iwe home au away

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Simba imesheheni wachezaji wa hatari sasa hiv, ile Simba ya anaanza Shekhan, Emmanuel Gabriel na Yussuf Macho halaf wanatoka anaingia Wycliffe Ketto, Joseph Kaniki na Athuman Machupa ndio hii, hii Simba ya mwaka huu tema mate chini.

Kipa mwarabu, kulia kapombe, kushoto Zimbwe, Inonga, Che Malone, Fabrice, Kramo, Chama, Baleke, Saido, Micquisone. Huko benchi ni balaaa la Kibu, Onana, Chilunda, hapana, hapana, labda kocha azingue.
 
Reactions: BRN
Mbumbumbu fc kwenye ujinga wako [emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Na imekwenda kujiandaa na timu ya level yake kipanga fc wakitaraji kupitia mechi iyo wapate kitu cha kupambana na Ahly.
Timu inayo jivunia uchawi barani Afrika katika u mbumbumbu ulio tukuka.
 
Uzi unaongelea Simba ila wamejaa jamaa wa mwiko nyumaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…