Kwa wadada tu plz!!!!!!!!!

Kwa wadada tu plz!!!!!!!!!

KIDUDU

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2012
Posts
2,557
Reaction score
1,927
Natafuta mchumba seriously, awe na umri kati ya 22 na 27, asiwe mnene, awe na rangi ya asili, elimu walau kuanzia form four kabila na dini sibagui cha msingi ni hofu ya mungu.. Mimi namaliza chuo kikuu mwaka huu lakini ni mwajiriwa, nina miaka 29, si mweus wala mweupe, mwili saiz ya kati. Nimechoka maisha ya peke yangu. aliye tayari ani PM au aniandikie tuki42@yahoo.com.
Tafadhali kama hautavutwa pita tu usitukane
.
 
Check check hapo chuoni na kanisani pia. Hapa kuna walaghai wengi, tena wakisikia unamaliza chuo mwezi ujao na una kazi...... Lo! Kazi kwako.
 
Check check hapo chuoni na kanisani pia. Hapa kuna walaghai wengi, tena wakisikia unamaliza chuo mwezi ujao na una kazi...... Lo!
Power to you
 
Back
Top Bottom