Kwa wadada tu

nahisi kama nimekosea njia. nilijua njia hii inatokea Madale kumbe nimetokea changanyikeni. samahani sana wahusika
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji144] [emoji3]
 
Mh! nadhani hiyo inaitwa..personal protective gear''....BTW kila kitu ni majaribio.
 
Aaaah ok kuanzia leo jioni ni mambo ya m-pesa au tigo-pesa usipoweza tusitiane usugu kisa kushinda kwenye simu
 
Nitamwambia nitafikaje nyumbani wakat vna hata 10, namwambia tuma M-pesa

Ha ha ha, hilo jina unanikumbusha kina Rancho, Raju, Virus et al; All is well, all is well!

Chukua taxi/bodaboda au bajaji, ukifika nalipa.
 
Ha ha ha, hilo jina unanikumbusha kina Rancho, Raju, Virus et al; All is well, all is well!

Chukua taxi/bodaboda au bajaji, ukifika nalipa.
Hahahahah, tuma advance hakuna bodaboda au bajaji atakubali kwenda umbali mrefu bila advance, labda uwe umezoeana nae
 
Hahahahah, tuma advance hakuna bodaboda au bajaji atakubali kwenda umbali mrefu bila advance, labda uwe umezoeana nae

Basi nakuja kukuletea mwenyewe, nielekeze uko wapi.

Ila inabidi tutoke kwanza
 
Basi nakuja kukuchukua mwenyewe, nielekeze uko wapi.
Nakuelekeza ununio mwisho kabisa afu ukifika, nakwambia nisubir sehemu flan nakuchomesha maind weeee then nakutosa, cz mpaka unifuate ww bahili bora nikupoteze (afu unakuta mm naishi gongo la mboto) muda tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakuelekeza ununio mwisho kabisa afu ukifika, nakwambia nisubir sehemu flan nakuchomesha maind weeee then nakutosa, cz mpaka unifuate ww bahili bora nikupoteze (afu unakuta mm naishi gongo la mboto) muda tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mi mwenyewe siji, mpaka ifikie kujibizana hivyo ujue kila mtu alisha msoma mwenzake.
 
Mi mwenyewe siji, mpaka ifikie kujibizana hivyo ujue kila mtu alisha msoma mwenzake.
Wapi wewe, kama kweli ww ungekuwa mjanja ucngejisumbua kunimbia unifata, cz tayar ungejua niko after money, so ungenipoteza hapohapo nilipokuambia unipe hela
 
Wapi wewe, kama kweli ww ungekuwa mjanja ucngejisumbua kunimbia unifata, cz tayar ungejua niko after money, so ungenipoteza hapohapo nilipokuambia unipe hela

Ha ha ha, haya bana!

Tufanye umeshinda, nimetoka Malamba Mawili mpaka Ununio halafu wewe uko Gongolamboto.

Hapo inabidi nipasuke pasuke kwa hasira aisee.
 
Ha ha ha, haya bana!

Tufanye umeshinda, nimetoka Malamba Mawili mpaka Ununio halafu wewe uko Gongolamboto.

Hapo inabidi nipasuke pasuke kwa hasira aisee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…