Kwa wadada tu

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Swali la kizushi hivi imetokea umevaa underwear, unataka kwenda mahali ukajicheki kwenye kioo ukaona haijakupendeza ukaivua je utaiweka kwenye underwear safi au itabidi uifue kwanza?
 
Mi sifui coz haijachafuka labda kama ningekua nimetoka nayo but kama ni hapo hapo narudisha kabatini
 
Swali la kizushi
Hv imetokea umevaa underwear, unataka kwenda mahali.ukajicheki kwenye kioo ukaona haijakupendeza ukaivua
Je utaiweka kwenye underwear safi au itabidi uifue kwanza?
Hivi na kwenye underwear kuna kupendeza na kutopendeza nan mwingine anaiona wakati iko ndani
 
Me ni ndume. Kama unanuka na kutoa uvundo bora ikatupiwa kwenye dustbin.
 
Kwani huko ndani hakustahili kupendeza Mkuu? Je ukipata emergency ya kutoa Huduma mahali?[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nimekupata mkuu... kumbe emergency ka hizo huwa zinatokea, nkajua zinapangwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…