Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Hivi na kwenye underwear kuna kupendeza na kutopendeza nan mwingine anaiona wakati iko ndaniSwali la kizushi
Hv imetokea umevaa underwear, unataka kwenda mahali.ukajicheki kwenye kioo ukaona haijakupendeza ukaivua
Je utaiweka kwenye underwear safi au itabidi uifue kwanza?
Kwani huko ndani hakustahili kupendeza Mkuu? Je ukipata emergency ya kutoa Huduma mahali?[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hivi na kwenye underwear kuna kupendeza na kutopendeza nan mwingine anaiona wakati iko ndani
Mmmh okMi sifui coz haijachafuka labda kama ningekua nimetoka nayo bt kama ni hapo hapo narudsha kabatin
Kwanini ninuke?Me ni ndume. Kama unanuka na kutoa uvundo bora ikatupiwa kwenye dustbin.
Nimekupata mkuu... kumbe emergency ka hizo huwa zinatokea, nkajua zinapangwaKwani huko ndani hakustahili kupendeza Mkuu? Je ukipata emergency ya kutoa Huduma mahali?[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Natania bnaNimekupata mkuu... kumbe emergency ka hizo huwa zinatokea, nkajua zinapangwa