maswali mengine humu bana
Hivi ni kwa nini wadada wengi huwa wanapenda kuchezea nywele za vifuani mwa wanaume pindi wanapokua faragha?
.sasa si zinaitwa garden love
wafanyaje sasa????????
Mkuu Senetor,si mpaka uwe nazo kwanza?Hivi ni kwa nini wadada wengi huwa wanapenda kuchezea nywele za vifuani mwa wanaume pindi wanapokua faragha?
<br />Senetor unatangaza biashara au vipi<br />
oooooppppsss kumbe alisema ni wanawake tuu wanahitajika kuchangia
<br /><br /><br />
<br /><br />
da husninyo karibu futari.
<br /><br /><br />
<br /><br />
kwa hyo cc ambao ha2na,ndo tayari 2mepoteza sifa za kupendwa au?