Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,952
hadi umekuja hapa..basi haupo serious
Kwanini Tausi? hapa kuna wanawake wa maana sana na wengi wao wanastahili kabisa kuwa wake za watu ambao wako serious katika kutafuta wenzi wao. Nimesoma siku za nyuma hapa jamvini kuna watu wameshaoana au wako mbioni kuoana.
ooooopppssss!!!!!! what you have said is verry verry important to everry one to understand it,,,,,:yuck::yuck::yuck:It's so easy to fall in love but hard to find someone who will catch you...............
.........We waste time looking for the perfect lover, instead of creating the perfect love.
It's so easy to fall in love but hard to find someone who will catch you...............
.........We waste time looking for the perfect lover, instead of creating the perfect love.
.. Mie ni mtu wa makamo kiasi. Nimeachwa (japo si kwa mambo ya kushindwa ngono - na kumtoa mtu (mwanamke) out sishindwi-, je kuna mwanaJF (mwanamke) anaetafuta mwanaume alie-serious (Tigo situmii na wala sitaki hata kufikiria)?
Alie serious na anai-PM
hiyo sababu ya wewe kuachwa haitamuathiri huyo mwingine ajae?.....nimeuliza tuu
Preta umebadili pcha kwanini ile ilikuwa na wapa munkari kina kaka kiza
Bora ungesema unatumia tigo,,ungewapata wengi.
Bora ungesema unatumia tigo,,ungewapata wengi.
.. Mie ni mtu wa makamo kiasi. Nimeachwa (japo si kwa mambo ya kushindwa ngono - na kumtoa mtu (mwanamke) out sishindwi-, je kuna mwanaJF (mwanamke) anaetafuta mwanaume alie-serious (Tigo situmii na wala sitaki hata kufikiria)?
Alie serious na anai-PM