kwa wadada wenye wachumba tu


Ni kweli kabisa hii vocalabry hakunaga.

Na haya mambo ya kupretend ndio mabaya maana iko siku utajisahau tu, ndio hapo ukose mwana........

 

Bottomline, genuine and positive change is not bad.
 
watanzania wanajifanya wanajua kila kitu
 
Ok smile,nimependa point zako, napend tu kuongezea, just be yourself, mtu akikupenda atakupenda hata kama upo vipi, maisha haya yana mambo ya ajabu sana,utashangaa unamwona mwanaume ana msichana wake anafanya mambo yote tajwa hapo juu, fiancee wake anamwacha anakwenda kwa mwingine ambaye hana hata sifa moja hapo juu, kwa hiyo fanya yoooote ila just be yourself, sababu kama hauko hivyo akikuoa utatoa mikucha yako mwenzako ataanza kujuta
 
Ni muhimu kuonesha good impression.. Umenikumbusha rafiki yangu alikua anaenda kutambulishwa kwa wakwe ikabidi akanunue dera na khanga za kuvaa kwa wakwe.. I guess tumezoea kufanya mambo kuwapendeza wengine..
 
Mhh Smile; mchumba atakayezingatia 1-3 ya pointi zako kama ni wangu
amemwagika live:thinking:!

NB: "AM NOT THE DADA"


 
Ni muhimu kuonesha good impression.. Umenikumbusha rafiki yangu alikua anaenda kutambulishwa kwa wakwe ikabidi akanunue dera na khanga za kuvaa kwa wakwe.. I guess tumezoea kufanya mambo kuwapendeza wengine..

To me it just depends on how you look at it. I don't see anything wrong, for example, for your friend to go buy something which in her opinion was perhaps more respectable to her in-laws than let's say a freak-um dress.
 
huo ndo mwanzo wa mapenzi ya kuigiza.

Be who you are, show who you are... kama wako wako tu hata ukafanya hayo yote hapo juu kama ndio tabia zako ulizozaliwa nazo au ulikokuzwa nazo.
na ndo mana ndoa nyingi hadidumu siku hizi maana kila mtu anajiona ndio yeye katika nyumba, mahusiano yanahusisha kujikana katika mambo fulani funali ambayo unayapenda ila mwenzio hayapendi.. mkuu wewe unazungumza tu toka moyoni au?, je ki uhalisia mtu wako angekuwa anaishi na kufanya atakavyo ungejisikiaje?
 
Smile hayo mabadiliko/'tabia nzuri' zinazingatiwa kipindi cha uchumba tu au hata mkishakuwa mke na mume?
 

I am who I am and he is who he is. Siwezi kuacha kucheka, kuwachangamkia au kubasilishana namba za simu na marafiki zake. In fact, ni marafiki zangu pia. Simu yangu ni yangu na yake ni yake.

Ukija kwenye majukumu tulikubaliana from day one, kila mtu anajua jukumu, wajibu na mipaka yake. Tuko pamoja, tunapendana sana lakini kupendana kwetu hakutusahaulishi kwamba sisi ni watu wawili tofauti.
 
To me it just depends on how you look at it. I don't see anything wrong, for example, for your friend to go buy something which in her opinion was perhaps more respectable to her in-laws than let's say a freak-um dress.

You may be right.. But still, that draws a conclusion most of us ain't really what we're perceived to be!
 
huo ni unafiki,halafu baada ya kuolewa

ndo unaonyesha uhalisia wako ndo cheating

zenyewe hizo wanawake wa siku hizi ndo

maana hamuolewi mnabaki kumegwa tuu

na wengine mnaharibiwa hata maumbile yenu

ya kutolea haja kubwa
 

Nimeipenda na ntachukua hatua ndo maana nazidi kuiweka jf kuwa rafiki yangu wa karibu na mshauri wangu wa karibu, God bless you
 

Na.3. ukigoma kwenda sehem niliyopropose! ntahisi una bwana hapo,! nalazimisha!! btw binadamu haibiwi hata siku moja!! nakubaliana na wewe kuwa mwanamke kwenda kwenda bar inashusha hadi yako unaonekana mlupo! ukiwa na mpenzi haina noma!
 
kwa wale waoaji hali halisi ndo hiyo kaaaaaz kweli kweli
 
huo ndo mwanzo wa mapenzi ya kuigiza.

Be who you are, show who you are... kama wako wako tu hata ukafanya hayo yote hapo juu kama ndio tabia zako ulizozaliwa nazo au ulikokuzwa nazo.

Ndo maana anakushauri kama uko kivingine ujirekebishe ukae ktk mstari kama huo
 

Weka source ya hii habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…