NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Habari wadau.
Utaratibu gani hutumika kukata RUFAA NECTA? Kwan kuna mtoto wa jiran yangu ameniomba msaada juu ya hilo.
Naomba kueleweshwa ili nami nimsaidie dogo
Natanguliza shukran
Utaratibu gani hutumika kukata RUFAA NECTA? Kwan kuna mtoto wa jiran yangu ameniomba msaada juu ya hilo.
Naomba kueleweshwa ili nami nimsaidie dogo
Natanguliza shukran