Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
ok! Life lina force kaka inatakiwa tupambane sanaDuh we noma zote hizo zipo kichwani mimi nisaidie AJAX tu inatosha.
Ahsante, tunahitaji wafanyakazi, km una contacts za wanafunzi wako waliofuzu, tafadhali nipatie.Hello wana JF! Ndugu zangu nina Bachelor in IT(BSCS) na natafuta wadau wa IT wanaotaka kuongeza knowledge kwenye JAVA, C, C ++, C#, PL, AJAX, PHP, MySQL, HTML,XML, LINUX, CSS, JAVA SCRIPT na WEB designing kama tuition kwani nilikuwa nafundisha wanafunzi wa Open University ila mkataba umeisha . Contact gymeric@gmail.com.
Hello wana JF! Ndugu zangu nina Bachelor in IT(BSCS) na natafuta wadau wa IT wanaotaka kuongeza knowledge kwenye JAVA, C, C ++, C#, PL, AJAX, PHP, MySQL, HTML,XML, LINUX, CSS, JAVA SCRIPT na WEB designing kama tuition kwani nilikuwa nafundisha wanafunzi wa Open University ila mkataba umeisha . Contact gymeric@gmail.com.
Ukitaka nitakupa contacts za watu ambao nimeshawahi kufanya nao kazi na kuwafundishaKweli Language zote unazijua vizuri au ndimu?
Naishi dar ila nipo kwenye project ya NICT Songea na natarajia kurudi soonuko dar au wapi?
Anazijua kwa majina. Ndio maana bongo hatuendelei kwa kujifanya multpurpose. Huyu n mwz. Java, c, c#, c++, uchanganye na scripting language. Wiz mtupu.Kweli Language zote unazijua vizuri au ndimu?
Hello wana JF! Ndugu zangu nina Bachelor in IT(BSCS) na natafuta wadau wa IT wanaotaka kuongeza knowledge kwenye JAVA, C, C ++, C#, PL, AJAX, PHP, MySQL, HTML,XML, LINUX, CSS, JAVA SCRIPT na WEB designing kama tuition kwani nilikuwa nafundisha wanafunzi wa Open University ila mkataba umeisha . Contact gymeric@gmail.com.
Anazijua kwa majina. Ndio maana bongo hatuendelei kwa kujifanya multpurpose. Huyu n mwz. Java, c, c#, c++, uchanganye na scripting language. Wiz mtupu.
ila we noma aah! kweli language zote hizo zikawe kichwani? kaka mie nimesoma It pia lakini kiukweli unaweza kujua scrpiting language nying ila si programminig language kama ulivotaja. Nafikiri hata ukaaply kazi kwenye IT industry unaweza ukawa discorified
Lah, jaman huyu mtu anakichwa au hiyo ni server?