Mzungu mmoja aliyekerwa na tabia ya wazungu wenzake wabaguzi wanaowaita waafrika nyani alisema hivi, nanukuu "Wewe akikuita nyani na wewe mwite nguruwe", mwisho wa kunukuu.
Mzungu mmoja aliyekerwa na tabia ya wazungu wenzake wabaguzi wanaowaita waafrika nyani alisema hivi, nanukuu "Wewe akikuita nyani na wewe mwite nguruwe", mwisho wa kunukuu.
Ebwana eh wakati tuna subiria hayo yatokee wadau nawa karibisha mjumuike na mimi. Maana msosi mzito huu siwezi kumaliza yote. "Waiter, lete kishushio basi!"