Kwa wadau wa madani...

Kwa wadau wa madani...

Bleazy moha

Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
10
Reaction score
3
Wataalamu wa madini eti hayo ni aina gani ya madini?
IMG_20200312_094546.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari hapo juu.

Naomba kujuzwa aina ya madini haya maana kuna Mtu kanitumia na mimi sijayatambua kwahiyo naomba mnisaidie nanyi wakuu?

IMG_20200316_101511.jpeg
IMG_20200316_101424.jpeg
IMG_20200316_101424.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh uko sawa mkuu ila ukiona MTU anaposti kwa njia ya simu basi ujue yupo mbali kijijini kwahyo lengo la kuposti humu nikama kutafuta ushauri na sio kuwasumbua nyinyi so please??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha! Wee jamaa ulivyotamka tu huko mbali kijijini nimekusoma kuwa wewe ndo unataka kupiga watu kwa biashara hiyo ya madini feki! Tafuta njia halali ya kujipatia kipato! Acha utapeli utachomwa moto!
 
Back
Top Bottom