che wa Tz
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 277
- 71
Hili ni swali wadau ambalo rafiki yake wa karibu kaniomba niliwakilishe kwa wanajamiiforum ili apate kujuzwa zaidi
"katika uchanganuzi wa sentensi za kiswahili, sentensi zilizooeleka zaidi na ambazo hutumika ni sahili, changamano na ambatano. Kwanini huwa hakuna uchanganuzi wa sentensi shurutia katika kiswahili"
"katika uchanganuzi wa sentensi za kiswahili, sentensi zilizooeleka zaidi na ambazo hutumika ni sahili, changamano na ambatano. Kwanini huwa hakuna uchanganuzi wa sentensi shurutia katika kiswahili"