kila sehemu dunia hakuna usalama 100%ndio mana hakuna nchi isiyo na gereza,usalama umeimarishwa na hiyo soweto uliyokuwa unaisikia kitambo ambayo bongo na kwingineko duniani inatambulika kama uswahilini na matukio ya uhalifu,sasa imewekwa ulinzi wa kutosha na imeboreshwa ina watu wa matabaka ya juu zaidi,kati na maskini, na fainali soccer city uwanja mkubwa kuliko yote afrika sasa 94200 inabeba watu upo huko soweto fainali inapigwa hapo. na kingine na hata wewe mwenyewe lazima ujilinde mwenyewe,ni mfano hata bongo huwezi kujitembelea tandika kiholelaholela,eti kisa umeambiwa bongo nchi ya amani,hata huko uswisi yenyewe ukiingia mitaa ya watu wanakutamani inakuwa kama mwanaume kakosea choo kaingia choo cha kike nauli ni return maximum itakuwa usd 1500 na matumaini haitazidi hapo na ukiwahi mapema itakuwa nafuu.