Kwa wadogo zangu wazuri! Furahieni kila hatua kwenye maisha yenu

Kwa wadogo zangu wazuri! Furahieni kila hatua kwenye maisha yenu

shibela

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
1,068
Reaction score
3,507
Kama wewe sio mdangaji na haujaolewa!

1. Ukiona mtu Yuko kwenye ndoa halafu anakupigia kelele unaolewa lini kila siku, jua ndoa Yake ina shida anapitia mazito kwenye hiyo ndoa, anakuonea wivu jinsi unavyo enjoy maisha yako ya ubachela anatamani na wewe uingie mkenge uteseke kama yeye!

Akili kumkichwa, kumbuka mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa! Mwenye ndoa Tamu hana muda wa kuhangaika na wewe atakupa ushauri mara moja anaendelea na mambo Yake!

2. Ukiona single mama anakwambia bora ubebe Mimba hata ya mume wa mtu ujizalie kitoto chako umri unakwenda!my friend kimbia usigeuke nyuma! Kulea mtoto peke yako sio kazi rahisi kiasi hicho!

TUnaishi mara moja rafiki zangu take a time to enjoy yourself, furahia kila hatua ya maisha yako, ndoa itakayokupa Raha ni pale utakapokutana na soulmate wako, sasa wewe jichanganye Kwa anayepumua sababu ya maneno ya watu!!!

Alamsiki!!
Furahieni maisha kweli kweli msijipe upweke WA kijinga nawapenda!!!
 
Kama wewe sio mdangaji na haujaolewa!

1. Ukiona mtu Yuko kwenye ndoa halafu anakupigia kelele unaolewa lini kila siku, jua ndoa Yake ina shida anapitia mazito kwenye hiyo ndoa, anakuonea wivu jinsi unavyo enjoy maisha yako ya ubachela anatamani na wewe uingie mkenge uteseke kama yeye!

Akili kumkichwa, kumbuka mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa! Mwenye ndoa Tamu hana muda wa kuhangaika na wewe atakupa ushauri mara moja anaendelea na mambo Yake!

2. Ukiona single mama anakwambia bora ubebe Mimba hata ya mume wa mtu ujizalie kitoto chako umri unakwenda!my friend kimbia usigeuke nyuma! Kulea mtoto peke yako sio kazi rahisi kiasi hicho!

TUnaishi mara moja rafiki zangu take a time to enjoy yourself, furahia kila hatua ya maisha yako, ndoa itakayokupa Raha ni pale utakapokutana na soulmate wako, sasa wewe jichanganye Kwa anayepumua sababu ya maneno ya watu!!!

Alamsiki!!
Furahieni maisha kweli kweli msijipe upweke WA kijinga nawapenda!!!
Waambie hao wasikurupuke, lasivyo watajikuta wanauza mpaka vinyeo ilimradi siku ziende.
 
What's your stand? Hutaki wawahi kuolewa na hutaki wazae bila mume, unataka wafanyeje?

Mbona haueleweki unatoa ushauri wa namna gani?
Sitaki wapanikishwe kuhusu ndoa,kama umri wao WA kuolewa umefika na wamepata wenza sahihi waolewe!!
My take!!
Ndoa ya kukurupuka sio rahisi kiasi hicho!!
Kujibebesha mimba Kwa kuwa umeshauriwa kwamba umri umeenda ndo balaa zaidi!!
Nawashauri wakule bata wakiwa mabachela waache ujinga!
Kupanga ni kachagua!!
 
Nawashauri wakule bata wakiwa mabachela waache ujinga!
Kupanga ni kachagua!!
Uwape na kaz sasa za kuwapa pesa wale bata vinginevyo ushauri wako hakuna atakayeutumia..
Wale bata na hawana pesa?? Nehii.
Hawana pesa na wasizae na waume za watu??? Impossible..
Hawana pesa na na wanataman bata halaf unataka wasikurupukie ndoa?? Nehii nehiii babujiiii
 
Sitaki wapanikishwe kuhusu ndoa,kama umri wao WA kuolewa umefika na wamepata wenza sahihi waolewe!!
My take!!
Ndoa ya kukurupuka sio rahisi kiasi hicho!!
Kujibebesha mimba Kwa kuwa umeshauriwa kwamba umri umeenda ndo balaa zaidi!!
Nawashauri wakule bata wakiwa mabachela waache ujinga!
Kupanga ni kachagua!!
Mnajidanganya tu wanawake hata hamli bata,ungekuwa me afu una pesa ndo ungeelewa bata halisia.
Ikumbukwe sijataja umalaya🤦🏿‍♂️
 
Kama wewe sio mdangaji na haujaolewa!

1. Ukiona mtu Yuko kwenye ndoa halafu anakupigia kelele unaolewa lini kila siku, jua ndoa Yake ina shida anapitia mazito kwenye hiyo ndoa, anakuonea wivu jinsi unavyo enjoy maisha yako ya ubachela anatamani na wewe uingie mkenge uteseke kama yeye!

Akili kumkichwa, kumbuka mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa! Mwenye ndoa Tamu hana muda wa kuhangaika na wewe atakupa ushauri mara moja anaendelea na mambo Yake!

2. Ukiona single mama anakwambia bora ubebe Mimba hata ya mume wa mtu ujizalie kitoto chako umri unakwenda!my friend kimbia usigeuke nyuma! Kulea mtoto peke yako sio kazi rahisi kiasi hicho!

TUnaishi mara moja rafiki zangu take a time to enjoy yourself, furahia kila hatua ya maisha yako, ndoa itakayokupa Raha ni pale utakapokutana na soulmate wako, sasa wewe jichanganye Kwa anayepumua sababu ya maneno ya watu!!!

Alamsiki!!
Furahieni maisha kweli kweli msijipe upweke WA kijinga nawapenda!!!
Daaah kuna jirani yangu mmoja 'ke' alikuwa na pesa ,ila shida saa bata zenyewe ni kulakula 2 adi nkajisemea hizi pesa zingekuwa kwa mtu fulani ingekuwa tofarent. Nyie bata zenu zipo limited achaneni kudanganyana aisee tafuta mtu akutie kitumbo utulie ndani au uwe single .....
 
Back
Top Bottom